Recent content by miss255b

  1. miss255b

    Hivi ni sababu gani zinazompelekea mwanamke kukosa hamu ya tendo la ndoa? tujadili

    nawashukuru sana ndugu zangu kwa michango yenu mada ilikuwa nzuri na michango yenu ilikuwa ya kusisimu sana tuendeleee kufatiana kwenye mada nyengine...
  2. miss255b

    V.V.U na Upimaji wake (Coincidences)

    Leo ningeanza na kujibu maswali mawili swali la kwanza nimeulizwa na rafiki yangu kwa jina maarufu mpemba swali lake anau liza T.R.Msigwa kwa nini hutumii un gold? Majibu ya swali lake rafiki yangu mpemba wazo lako si baya ila naomba kutoa maelezo kabla ya jawabu hicho ulichosema tupime kazi...
  3. miss255b

    Kitandani ni lazima uwe mbunifu

    mm kiupande wang najitahi ila napenda nijifunze zaid kila siku...niwe napata kitu kipya
  4. miss255b

    Kitandani ni lazima uwe mbunifu

    wanasemaga kifo cha mende peleka leba haaahahahahah
  5. miss255b

    Kitandani ni lazima uwe mbunifu

    Angalia hii video ..Then tujadili ?ukiachia haya unadhan ni mambo gan muhimu unayotakiwa uyafanye kwenye tendo la ndoa..Maana hapa kuna mambo mengi ukikosea step unaweza ukajikuta unapata tabu sana....
  6. miss255b

    Hivi ni sababu gani zinazompelekea mwanamke kukosa hamu ya tendo la ndoa? tujadili

    leo nigependa kupata msaada juu ya hili tatizo..wana JF wenzangu najua kuna watu wana uelewa zaidi wanaweza wakatusaidia...hivi ni sababu gani zinazompelekea mwanamke kukosa hamu ya tendo la ndoa? tujadili
  7. miss255b

    JE UKIMWI UNA DAWA?

    Leo ningeanza na kujibu maswali mawili swali la kwanza nimeulizwa na rafiki yangu kwa jina maarufu mpemba swali lake anau liza T.R.Msigwa kwa nini hutumii un gold? Majibu ya swali lake rafiki yangu mpemba wazo lako si baya ila naomba kutoa maelezo kabla ya jawabu hicho ulichosema tupime kazi...
  8. miss255b

    labda naweza kupata msaada

    Majira ya saa sita na dk 24 nilisikia meseji kwenye simu yangu ya voda kufungua nkaona kipimo nilichotumiwa na rafiki yangu nnayemtambua kwa jina la namba 5 na kipimo hiki nakiweka kwenye makala hii nnayoandika leo na sababu kubwa ya kuandika makala hii ni kipimo hiki nilichotumiwa majira ta saa...
Back
Top Bottom