Recent content by Miss X

  1. Miss X

    Kundi lingine la watoto limekutwa kwenye misikiti ya mji wa Dodoma

    Kabla ya kulaumu au kutetea tusome hii habari na kuangalia hizi picha. Hii nchi inakoelekea si kuzuri kabisa
  2. Miss X

    Kundi lingine la watoto limekutwa kwenye misikiti ya mji wa Dodoma

    Watoto pamoja na vijana 115, wamekutwa katika vituo visivyo rasmi vya kulea watoto eneo la Nkuhungu mji wa Dodoma. Watoto na Vijana hao wametoka katika mikoa mbalimbali ya Tanzania. Wamekuwa wakifanya mazoezi ya karate pamoja na masomo ya dini ya kiislamu. Mpaka sasa jeshi la polisi limewatia...
  3. Miss X

    Kundi lingine la watoto limekutwa kwenye misikiti ya mji wa Dodoma

    Kuna tetesi kuwa kuna kundi la watoto zaidi ya mia, wengine wakiwa na miaka mitatu tu,wamekutwa vituo ambavyo havijasajiliwa mji wa dodoma. Wengi wakitokea mikoa mbalimbali ya Tanzania. ====== Updates======= Picha zote kutoka blog ya Michuzi...
  4. Miss X

    Watoto 147 wakutwa misikitini Kilimanjaro

    WATOTO 140 wenye umri kati ya miaka 10 na 21 wamekamatwa wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wakilelewa katika misikiti mitatu tofauti. Taarifa zilizopatikana wilayani hapa zinasema watoto hao wamekuwa wakifundishwa mafunzo ya dini ya kiislam kinyume cha sheria. Kwa mujibu wa taarifa hizo, watoto...
  5. Miss X

    Joto la CCM ni kali sana, wapinzani wanavua gwanda "automatically"

    kaza buti juliana, mkoa wa mbeya unagawanywa, hivyo kunauwezekano wa wilaya mpya kuibuliwa. Labda watakukumbuka wakati huu kwa ukuu wa wilaya
  6. Miss X

    Tahadhari: ISIL wanapanga kuishambulia Tanzania

    Kwa mujibu wa taarifa za kiupelelezi, Dola la kiislamu la ISIL, maarufu kama Islamic state. Linampango wa kujenga himaya yake Afrika mashariki, hasa Tanzania, Ethiopia, Kenya na Somalia. Hii ni kutaka kuungwa mkono na kujitanua zaidi kwenye nchi za Afrika. Pia Dola hilo limekuwa likipanga...
  7. Miss X

    Aliyekuwa mbunge wa CHADEMA, Zitto Kabwe ahamia rasmi ACT Tanzania

    Halafu watu wakaanza kusema oooooooh, Tundu lisu kamtimua
  8. Miss X

    Kwanini watanzania wengi wana majungu na fitina?

    Si kweli, hii ni tabia ya binadamu kwa asili si watanzania peke yake hata wazungu wasia na waafrika wote, sina uhakika na waarabu maana sijawahi kuishi nao karibu. Majungu ndio chanzo kikuu cha kujenga urafiki. Fanya utafiti utaona.
  9. Miss X

    Tanzania yapunguza safari za Kenya Airways

    Pokea busu la hongera, umenivunja mbavu
  10. Miss X

    Waziri Chikawe tena: Jihadi John alikuja Tanzania kufanya ugaidi

    Nadhani kuna siri tu inafichwa, na sababu si tu kuwa alikuwa mlevi. Tanzania inajulikana kwa kunyenyekea wageni, kwa hili lingekuwa kosa dogo sana tu. Kwani wageni wameshafanya mambo mengi ya kuidhalilisha Tanzania na wakaendeea kuishi. Labda kinachofichwa ni kuwa kunaushirikiano wa mashirika...
  11. Miss X

    Mkutano wa Freeman Mbowe mjini Kahama

    Msijali, Kinana atenda kesho kupiga nao picha akiwa akichuma nao nyanya na kuchimba mashimo ya choo.
  12. Miss X

    Askofu Gwajima atunukiwa PhD (Doctor of Philosophy)

    Omega Global University doesn't actually exist. It's a fake university. As far as I can establish it operates from no more than a cellphone number. It used to have various web sites (includingomegabibletheologicalcollege.com and omegaglobaluniversity.com) but those sites have both recently been...
  13. Miss X

    Mishahara ya Polisi ya mwezi wa pili

    ni kweli mishahara yao imechelewa
  14. Miss X

    Tanzanian Drug Lord, Ayubu Mfaume Kiboko, from inmate in a Hong Kong prison

    OOOOOOOOOOOOOh, huyu mtu bado yupo huru mpaka leo?.
Back
Top Bottom