Habari,
Ninaishi Dar, nina umri wa miaka 23, jinsia KE, nina elimu ya chuo kwa ngazi ya Diploma Ya Ugavi Na Usafirishaji. Kuna sababu zilizo nje ya uwezo wangu kuendelea na chuo kwasasa. Nimeshawahi kufanya kazi kwenye kampuni ya Telecommunication, [sikuwa na elimu iyo bali nilijifunza nikiwa...