Recent content by miss personal cook

  1. M

    Naomba kujua Bei ya Pikipiki aina ya Boxer mpya

    Dar Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
  2. M

    Naomba kujua Bei ya Pikipiki aina ya Boxer mpya

    Habari Wakuu, Naomba mnijuze bei ya Pikipiki aina ya Boxer mpya na ni wapi naweza kupata wanapouza.
  3. M

    Natafuta mtu anaejua kuchoma mishkaki na kuku kwenye mkaa

    Helo natafuta mtu aje anifundishe jinsi ya kuchoma kuku na mishkaki kwa kutumia mkaa vizuri. Nipo Dar yeyote anaeweza ani pm au kama kuna mtu yeyote unamjua anaeweza kunifundisha tafadhali naomba mawasiliano yake
  4. M

    Biashara yangu ya mpito natafuta mtaji

    Wakuu karibuni mnipe oda za kesho za makande matamu sana. Kesho bei ya ofa makande tupu sh 2000 na delivery 2000 popote unakelewa yakiwa bado ya moto kabisa Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app Makande ni matamu asikwambie mtu[emoji16]
  5. M

    Mtandao wa Airtel hili halina tofauti na uhujumu uchumi

    Airtel is the worse network huwa nikiwa kariakoo tu hapo mtandao haushiki Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
  6. M

    Biashara yangu ya mpito natafuta mtaji

    Mi bado nafanyia online mkuu na deliver tu ila nipo kwenye process za kutafuta sehemu maalum Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
  7. M

    Biashara yangu ya mpito natafuta mtaji

    Ndio mkuu biashara inaendelea Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
  8. M

    Biashara yangu ya mpito natafuta mtaji

    Weka tu oda yatakufikia siku yoyote Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
  9. M

    Biashara yangu ya mpito natafuta mtaji

    Hapana sina upare wowote Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
  10. M

    Biashara yangu ya mpito natafuta mtaji

    Asante mkuu Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
  11. M

    Biashara yangu ya mpito natafuta mtaji

    Tupo Dar pekee kwa sasa mkuu Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
  12. M

    Biashara yangu ya mpito natafuta mtaji

    Sawa naanda mkuu nitakutumia Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
  13. M

    Biashara yangu ya mpito natafuta mtaji

    Sawa mkuu naweka Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
  14. M

    Biashara yangu ya mpito natafuta mtaji

    Nipo maeneo ya kijichi. Nikipata kama laki 5 inatosha kuanzisha catering yangu. Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
  15. M

    Biashara yangu ya mpito natafuta mtaji

    Hello wapendwa karibuni mniungishe katika biashara yangu mpya nipo kutafuta mtaji wa kuanzisha catering ya kisasa ila nimeona nianzie huku kwanza. Bei zangu ni kama hivi: Makande + salad + parachichi kidogo bei 3500. Makande + fried beef + parachichi kidogo bei 5000. Kwa vile bado nafanyia...
Back
Top Bottom