Recent content by Miss Mbunda

  1. M

    Msaada: NAOMBA KUJUA KUHUSU WANAWAKE WA KINGONI

    wachapakaz, heshima ,kujishusha bt kwa upande mwingine 2na asili ya kiburi na jeuri.
  2. M

    Wanawake wagogo

    To be honest,wagogo wana sifa ya uchafu sana na uvivu hasa ktk maswala ya shule na maendeleo mengine,ndo sifa zao kuu.
  3. M

    Jimama linanitega

    Ka vp mega 2!
  4. M

    Ushauri wako unahitajika...

    Dada angu,nakushaur piga moyo konde uachane na huyo mwanaume hafai,mwanaume mwenye mapenz ya dhat hawezi kumtukana na kumdhalilisha mpenz wake,em fikiria akikuoa itakuwaje ikiwa hapo ndo kwanza ni wachumba 2! Sasa ni wakati wa kupiga got chini na kumwomba akupatie mume bora na sio bora mume...
  5. M

    Msaada wa haraka kwa huyu kijana wa four aliyepata matokeo jana tare 18.02.2013.

    div iv ya 28 hawachukui,isipokuwa 27 ndo wanaenda!kama upo vizur mpeleke akasome certificate yoyote kama bandari,veta,CBE n.k then bdae ataendelea had diploma na digrii.
  6. M

    Mapenzi yetu yana miaka saba sasa............

    Hee we mkaka ajabu,yaan bila ata aibu jamani,em jifikirie mara mbil mbil kama we ndo ungekuwa dem afu mchumba ako uliyedum nae kwa miaka 7 anakubwaga ungejiskiaje?usichopendwa kutendwa wewe usipende kuwatenda wengine!wenzio huwa hawaend kiivo.
  7. M

    Siamin kama jf haiwezi kunipatia binti sahii(binti inakuhusu)

    mmnh!unaonekana sharo! Ok usikate tamaa mkaka,cha msingi uskate tamaa kwani wasichana wa sifa unazozihitaji wako wengi tu,ila huwezi kupata bila kumshirikisha Mungu akupe mke mwema,ikiwezekana funga na piga maombi ya nguv na uamini utapata huyo umtakaye,vinginevyo utabast kichwa kaka!Maana kwa...
  8. M

    mama azaa mtoto anayefanana na mbuzi

    mmh!asa mbona kichwa cha habar na maudhui havina uhusiano?
  9. M

    Kwenu boys n girls

    duh!umetsha,2kiwa na mijanadume 100 tanzania ukimwi unawezekana!
  10. M

    Ushauri wenu ni muhimu kwangu

    mimi ni msichana mwenye miaka 25 ambaye nina mpenzi tunayependana sana ila tatizo ni kwamba,tukipiga mechi huwa napata maumivu makali sn,na tatizo hili hutokea baada ya mechi ya pili kuanza na kuendelea,ila mechi ya kwanza huwa nainjoy sana. Sio kwamba huwa siandaliwi la hasha!mpenzi wangu huwa...
  11. M

    Kwenu boys n girls

    kwa kweli.!mzabzab upo hapo?
Back
Top Bottom