Recent content by Miss Makuka

  1. M

    JamiiForums Tanzania Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    shukrani kama kuna per diem, acha nijitose. shukrani sana. asante kwa muongozo huo
  2. M

    JamiiForums Tanzania Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    H:D, Mmmmh nilishawahi kugongwa na nyoka, kwahiyo muda huu yasiwe yale yale
  3. M

    JamiiForums Tanzania Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    H:D, Mmmmh nilishawahi kugongwa na nyoka, kwahiyo muda huu yasiwe yale yale
  4. M

    JamiiForums Tanzania Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    H:D, Mmmmh nilishawahi kugongwa na nyoka, kwahiyo muda huu yasiwe yale yale
  5. M

    JamiiForums Tanzania Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    yes, Mdau uko sawa iko chini ya wizara ya kilimo isiwe mambo ya TGS ndiyo wasiwasi
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    Habari wadau. samahani naomba kuuliza kama kuna mdau yoyote anaijua o COPRA (Cereals and Other Produce Regulatory Authority - Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko salary scale zao tafadhali naomba msaada
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mtumishi akiandika barua kwenda utumishi huwa inachukua muda gani kujibiwa?

    Habari wapendwa, Jamani kwa wale watumishi wa Serikali, hivi mtumishi akiandika barua kwenda utumishi huwa inachukua muda gani kujibiwa. Maana mimi binafsi nimeandika barua toka mwezi wa 12 mwaka huu 2023, mpaka sasa majibu sijapata na nikipiga namba za call center hazipatikani. Na mbaya zaidi...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nahitaji kuhama kutokea Taasisi A kwenda Taasisi B za Serikali, Nifanyeje?

    habari, sasa kama haupo kwenye mfumo wowote na wala check number, swali, mshahara walikuwa wanakulipaje unachukua cash au? inaonekana hiyo taasisi A siyo Taasisi ya Kiserikali, ingekuwa ya kiserikali lazima uwe na chech number. ushauri wangu andika barua ya kuacha kazi masaa 24 na unarudisha...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mwongozo wa barua ya kurudi kwa mwajiri wangu wa kwanza

    asante kwa ushauri wako
  10. M

    JamiiForums Tanzania Mwongozo wa barua ya kurudi kwa mwajiri wangu wa kwanza

    Habari wapendwa, naomba muongozo. mimi ni mtumishi niliyeajiriwa mwaka 2013 kwa kada ya katibu mahsusi, mwaka 2021 niliandika barua ya kuomba kuhamia katika taasisi ya Chuo kwa kada ya Katibu Mahsusi, na chuo ikanijibu kwa barua kwamba nafasi hiyo ipo ya katibu Mahususi. Nikafuata utaratibu wote...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Changamoto mbalimbali kwa watumishi wanaohama vituo vya kazi na utatuzi wake

    Habari, ninachofahamu mimi ni kwamba kwenye ofisi uliyotoka unamfuata HR anayehusika na mfumo wa mishahara, yeye ataitisha faili lako kujiridhisha kama kweli umepata kibali cha kuhama, kama kupatikana na faili itakuwa shida, unamuonyesha barua ya uhamisho then atakuuliza check namba yako, na...
Back
Top Bottom