Miss Makuka
Member
- Jan 5, 2023
- 5
- 4
Habari wapendwa,
Jamani kwa wale watumishi wa Serikali, hivi mtumishi akiandika barua kwenda utumishi huwa inachukua muda gani kujibiwa. Maana mimi binafsi nimeandika barua toka mwezi wa 12 mwaka huu 2023, mpaka sasa majibu sijapata na nikipiga namba za call center hazipatikani.
Na mbaya zaidi ofisi zao ndiyo huko Dodoma, hata status ya barua inakuwa ngumu kujua imefikia stage gani.
Wapendwa kwa yeyote yule aliyewahi kuhamia sehemu na baadaye
Jamani kwa wale watumishi wa Serikali, hivi mtumishi akiandika barua kwenda utumishi huwa inachukua muda gani kujibiwa. Maana mimi binafsi nimeandika barua toka mwezi wa 12 mwaka huu 2023, mpaka sasa majibu sijapata na nikipiga namba za call center hazipatikani.
Na mbaya zaidi ofisi zao ndiyo huko Dodoma, hata status ya barua inakuwa ngumu kujua imefikia stage gani.
Wapendwa kwa yeyote yule aliyewahi kuhamia sehemu na baadaye