ni kweli mwenzangu unaweza ukajitahidiiiiiiiiiii weeeeeeeeeee ila kama mtu hiyo ni tabia yake kumbadilisha ngumu,mimi sijamnunia ila mwenyewe ajiamini kwa ukimya wangu.
Habari ya kazi wa JF?mimi ni mwanamke wa miaka 28 nimeolewa na nina watoto wawili wa kike wa kwanza ana miaka 6 na anaemfuta ana miaka 4,juzi nimegundua mume angu kazaa mtoto mwingine na mwanamke mwingine mtoto ni mdogo kuliko wangu,nimechanganyikiwa jamani sijui ata la kufanya,ni bora ata huyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.