Habari wapendwa? Naombeni msaada nitumie dawa gani ili niache kublid maana toka nichome sindano nablid tu, nikipumzika ni siku 2 nablid tena yani bila mpangilio
Naweza nikawa nimetoka zangu sina hili wala lile ghafla damu zinatoka pia nakosa na hisia za kufanya mapenzi siyo kama mwanzo kabla...
Habari zenu?
Poleni na majukumu ya kila siku, swali langu ni kwamba je ni sahihi mwanaume kutokuacha hela ya matumizi nyumbani? Binafsi nina miezi miwili toka nifungue biashara ya mgahawa hata bado haijachangamka ila toka nifungue Mume wangu hataki kuacha hela ya matumizi kama mwanzo wakati...
Yaani hakuna kitu kinaumiza Kama unapika akili yako yote unaiweka jikoni ili mmeo afurahie chakula halafu analambalamba anaacha na nina uhakika atakuwa anakula huko nje coz akija anakuwa na kitambi pia ana afya nzuri tu yaani kwa jinsi anavyogusa gusa chakula angekuwa Hali nje angekuwa na afya...
Huyu hanywi pombe kabisa yani ananiumiza sana akili, kuna kipindi dada yake alikuja nikafanya makusudi nikamuomba anisaidie kupika nia yangu nimuone Kama akirudi atakula alichopika dada yake pia nacho hakula hapo ndo nilipozidi kuona kuwa Kuna tatizo mahali.
Sasahivi nimeshakuwa Kama chizi...
Habari zenu wapendwa?
Naombeni msaada Mume wangu amekuwa pasua kichwa hapendi kula nyumbani, najua kupika nampikia vyakula vizuri lakini akija anakula tu kidogo anaacha wakati mwingine hali kabisa ukimuliza hana sababu.
Mwanzo nilijua labda napika vibaya lakini siyo maana watu wengine wakila...
Habari zenu wapendwa?
Naomba mrejesho kwa mtu aliyewahi kutumia Goldie face cream, maana Mimi nina chunusi sasa nimeenda cosmetic wamenishauri nitumie hii face cream.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.