Recent content by misoza Gete

  1. M

    Ubunifu; vitanda vya pallets (chaga za kubebea mizigo mizito)

    Naomba namba ya huyu fundi nifanye nae kazi.
  2. M

    Precision Air (Dsm Dodoma)

    Ni sisi aisee tumeteseka kweli mama mmoja alikemea kilokole baadae ikapiga mtikisiko mkali akanyamaza maombi. Ha ha ha nadhani akawaza wanae maana hata simu aliweka kwenye mkoba
  3. M

    Precision Air (Dsm Dodoma)

    Mnachekesha lakini ile hali kwa kweli si mchezo. Ha ha
  4. M

    Precision Air (Dsm Dodoma)

    Ha ha ha hatari
  5. M

    Precision Air (Dsm Dodoma)

    Kuna ka ukweli lakini ha ha ha
  6. M

    Precision Air (Dsm Dodoma)

    250,000-350, 000 kwenda tu
  7. M

    Precision Air (Dsm Dodoma)

    Ni hurka ya waswahili kuwa na majibu mepesi na mizaha
  8. M

    Precision Air (Dsm Dodoma)

    Definetely hali ya hewa haikuwa vizuri
  9. M

    Precision Air (Dsm Dodoma)

    Logical somehow
  10. M

    Precision Air (Dsm Dodoma)

    Nimesafiri leo 19.02.2024 na Ndege ya Precision Air PW 600 aina ya ATR kutoka Dsm kwenda Dodoma majira ya saa 5:40 asb na kufika saa 6:55 Ndege imeyumba sana angani hadi abiria wote kupoteza matumaini ya kufika salama Dodoma. Pamoja na uwepo wa mawingu lakini ya Leo ilikuwa inashuka na kupanda...
  11. M

    Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

    Dr.Nina tatizo la kuuma mkono wa kushoto ndani hasa ukila nyama hasa ya mbuzi na vyakula vingine vya aina hiyo.Nilishapima hospital hamna ugonjwa.Ni tatizo la zaidi ya miaka 9 sasa.Mkono mmoja tuu huuma.Ahsante
  12. M

    Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

    Dr.Tatizo la kutozuia mkojo,mkojo kutoka wenyewe bila control nini tiba yake tafadhali.Tatizo ni kwa mwanaume wa miaka 37.Ushauri na tiba please
  13. M

    Wizara ya ustawi wa jamii/halmashauri zote-nini vigezo na standards za kusajili day care centres

    H a ha ha Ni wizara ya Afya,Maendeleo ya jamii,Jinsia,wazee na Watoto kwa sasa
  14. M

    Wizara ya ustawi wa jamii/halmashauri zote-nini vigezo na standards za kusajili day care centres

    Wanajamvi, Poleni kwa mkasa wa Mkurugenzi wetu wa JF. Nimepita sehemu mbalimbali hapa nchini kutafuta fursa za kufungua vituo vya day cares.Nimesikitishwa kuwa Wizara haina vigezo vinavyotumika kwa kila Halmashauri kukagua hivi vituo.Maafisa wa Ustawi wa Jamii hawajitambui na wakati fulani...
  15. M

    Tetesi: Bodi za usajili,AQRB,ERB,CRB kutumbuliwa na kufanywa moja

    Mbarawa punguza burden kwa wananchi ,huu utitili wa bodi ni mzigo kwa mlipa kodi.Ukiwa na ujenzi wa ghorofa unagombaniwa kama mpira wa kona na hatujui fedha hii huenda wapi?Nilidhani ingeleta tija hata zingetengeneza barabara za kokoto maeneo hayo baada ya kusajili.Hili ni jipu tusaidie...
Back
Top Bottom