Recent content by Misitu na Nyuki

  1. Misitu na Nyuki

    JamiiForums Tanzania Tumia asali kwa ajili ya kulinda afya yako

    ya nyuki wadogo mara nyingi ina rangi dark fulani hivi, lakini pia ni nyepesi pia iko na ladha ya uchungu kidogo.
  2. Misitu na Nyuki

    JamiiForums Tanzania Tumia asali kwa ajili ya kulinda afya yako

    sawa sawa kwa mbali iko hivyo, yenyewe ni chungu kidogo kuliko ya wakubwa.
  3. Misitu na Nyuki

    JamiiForums Tanzania Tumia asali kwa ajili ya kulinda afya yako

    ndiyo ipo hiyo mkuu, ni shs. 40,000/- kwa lita. kama upo Dar au Moro unaletewa. ni nzuri sana kwa tiba.
  4. Misitu na Nyuki

    JamiiForums Tanzania Tamthilia ya Kichina 'DODOU NA MAMA WAKWE ZAKE'

    nakazia.
  5. Misitu na Nyuki

    JamiiForums Tanzania Tumia asali kwa ajili ya kulinda afya yako

    pole sana mkuu. hiyo kawaida...either asali unayoipata inakuwa na pollen, hivyo hupelekea allergy..maana kuna watu wengi pollen huwaathiri.
  6. Misitu na Nyuki

    JamiiForums Tanzania Tumia asali kwa ajili ya kulinda afya yako

    asante mkuu. nitaimprove
  7. Misitu na Nyuki

    JamiiForums Tanzania Tumia asali kwa ajili ya kulinda afya yako

    shukrani sana kwa elimu nzuri. nimeinyaka hiyo
  8. Misitu na Nyuki

    JamiiForums Tanzania Tumia asali kwa ajili ya kulinda afya yako

    anh ivo..eh? yani haitakiwi kuchanganya?
  9. Misitu na Nyuki

    JamiiForums Tanzania Tumia asali kwa ajili ya kulinda afya yako

    aaah, atuambie kwa makundi yapi na pia kwa kiwango kipi? ni sahihi inaweza kuwa.
  10. Misitu na Nyuki

    JamiiForums Tanzania Tumia asali kwa ajili ya kulinda afya yako

    AFRICAN BEE PRODUCTS ENTERPRISE - MOROGORO 0763-672575 ASALI BORA YA ASILI FAHAMU FAIDA ZA ASALI NA JINSI YA KUITUMIA KWA AJILI YA KUIMARISHA AFYA YAKO NA MWILI WAKO. S/N FAIDA MATUMIZI 1 KUUPA MWILI NGUVU ASALI, ASALI + CHAKULA(MKATE, CHAI, UJI, VIAZI, CHIPSI) 2 KUTIBU MAUMIVU YA...
  11. Misitu na Nyuki

    JamiiForums Tanzania Ufahamu Mti wa Mlusina (Leucaena leucocephaela)

    inategemeana mkuu na mazingira ambapo itatumika.
  12. Misitu na Nyuki

    JamiiForums Tanzania Mti wa Kifabakazi/kibobakasi (Spathodea campanulata) African tulip tree

    ni miti hutoa maua kipindi cha mwezi disemba mara nyingi huwa ni winter season, na miti hiyo huwa na maua yana rangi nyekundu na hata nyeupe au zinginezo pia. hivyo ni sawa inaweza kuitwa mikrismasi kama jina tu.
  13. Misitu na Nyuki

    JamiiForums Tanzania Ufahamu Mti wa Mlusina (Leucaena leucocephaela)

    hahaha.. unaweza ukajaribu mkuu. ni miti mingi inachangia kitu kama iko, hata huu pia inawezekana lakini wataalamu hatujafuatilia zaidi upande huu.
  14. Misitu na Nyuki

    JamiiForums Tanzania Je, huu ni mti wa mlonge?

    huo ni mti familia ya mimosaceae. mlonge upo familia ya moringaceae sifa zake ni una mbegu ndefu zaidi, majani ni madogo mno.
  15. Misitu na Nyuki

    JamiiForums Tanzania Mti wa Kifabakazi/kibobakasi (Spathodea campanulata) African tulip tree

    Spathodea campanulata (African tulip tree). Ni mti ambao upo katika familia ya Bignoniaceae, ambao asili yake ni Afrika ya kitropic kuanzia Sudan, DRC, Tanzania hadi Ethiopia na sehemu zingine barani Afrika. Ni mti ambao hutoa maua mengi na ya kuvutia ambayo hata ukiwa mbali unaweza kuyaona...
Back
Top Bottom