Recent content by mishaely

  1. M

    JamiiForums Tanzania Hivi wanawake wote wangekuwa kama Joyce Kiria ingekuwaje?

    La muhimu wote wakae chini na kujiuliza wanamtumikia nan Kama ni mtanzania hawana budi kueleweshana kwa katiba na mamlaka ya rais ili mwisho wa siku ss tuendelee kulijenga taifa letu kwa pamoja
  2. M

    JamiiForums Tanzania TRA kuongezea wafanyabiashara pesa ni kuongeza rushwa Tanzania

    Hata wakati wa makadirio inatakiwa wasikadirie wakiwa ocfn Bali watembele duka hadi duka italeta ufanisi mzuri
  3. M

    JamiiForums Tanzania Diamond Platnumz: Mdee ni Mzigo Jimbo la Kawe

    mwambieni huyo diamond alipe kodi kwanza ndio adai maendeleo miaka yote ya uhuru hilo jimbo lipo chini ya ccm sasa anataka miaka mitano ya mdee ijengwe barabara
  4. M

    JamiiForums Tanzania Zitto hajamfungulia kesi Mbowe kama ilivyodaiwa [KANUSHO]

    kweli ninyi vibaraka nan hawajui kwa hilo
  5. M

    JamiiForums Tanzania UKAWA PAWAKA: Mazungumzo ya Siri Yakijadili Nafasi ya Urais Yanaswa!

    Hukuna chama chenye msimamo mzur kama chedema tanzania hakimwangalii mtu usoni ktk swala la utendaji
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kakobe amshukia Lowassa, azungumza kuhusu Kura ya Maoni

    Huyu ni mtume wa Mungu amenena maneno mazuri nampongeza kwa sababu wa ccm wanatudharau cc kuwa hatujui hivyo yote wayafanyayo gizani Mungu huyaweka peupe hongera kakobe kwa ujumbe mtamu shika neno hilo
  7. M

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu

    Tundu lisu a najua anachokisema anafaa kuckilizwa sana mana msomi
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mkasa ulionikuta baada ya kumtongoza msichana wa JF

    Hayo ni mambo ya kwaida tu ungeeleza shida yako ujue ana chukka jumuiya gani
  9. M

    JamiiForums Tanzania Alichokiongea Zitto Kabwe huko Mwandiga, Kigoma - Machi 15, 2015

    Lakini ajitazamie hayo ndiyo matokeo ya usaliti
Back
Top Bottom