Jamani hii course hapo IRDP ya HUMAN RESOURCE IN PLANNING AND MANAGEMENT ANAWEZA KUPATA MKOPO????na je kozi gani anaweza akapata mkopo mbali.na education na ualimu????
Job K iko hivi bro its mdogo wangu amemaliza chuo cha magogoni 2013 chet amekipata mwez wa 4 kilikuwa kimekosewa kwahyo akaondoka na transcript sasa mistake iliyofanyika instead of Mary wameandika maria kittah akakiacha cheti akabeba transcript sasa akaambiwa atapewa end of june bt hakupata na...
Wana JF Nisaidieni,
Nina mdogo wangu amemaliza diploma sasa, alikuwa anafanya, application za degree via NACTE sasa kalipia 50 mpesa ila sasa ile step ya kuweka number yake ya mtihani chuoni wakamwandikia kuwa the registrartion number not found.
kuna kieneo kimeonesha pa kujaribu njia...
Ukitaka kujua Uzuri wa Mbinguni waulize MALAIKA....Ukitaka kujua ukali wa moto wa Jehanum muulize SHETANI ila KAMWE USITHUBUTU kuwauliza Wanandoa kuhusu "Habari za Ndoani" Watakwambia Siasa Tupu...Very few talk the truth kuhusu Maisha ya Ndoa ila Wengi ukiwauliza
"Jamani Nioe huko hali ikoje"...
Mambo ya msingi kuyasoma na
kuyatumia kila siku ( majibu ya
kufanikiwa katika maisha)
1. Usijilinganishe Maisha yako na
watu wengine, huwezi jua wao
wanatumia njia gani kufanikiwa
2. Usiwe na mawazo hasi kwenye
vitu usivyo na uwezo navyo, ila
wekeza nguvu zako katika kila
ulifanyanlo sasa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.