Kabisa bibilia iliyo original ni iliyo andikwa ki hibru tu zingine zote ni translating na unajua any document iliyo tafsiriwa sio 100% ili kupata ile pacent zilizo baki unatakiwa kujua na kujifunza original lugha ya bibilia
Huwezi kuhifadhi bibilia...utahifadhi kipi sasa ili useme umehifadhi bibilia agano la kale? Au jipya?.vp na hizi sheria zinazo ongezeka kila siku kama kuruhusu gays na lesbian kuwa viongozi wa kanisa.
Huo ndio ukweli wenyewe na hata lisu ni wao ndio wamefanya hivyo chadema... amka kaka chukua kidogo mitaani changanya na yako then utapata jibu.. sio unaegemea kwenye story za mitandao na vijiweni tumia akili yako kutafakari yanayo endelea ipe akili yako kazi ya kufanya
Ndoto za kimweri hizo...mtaota sana mwaka huu subirini lisu arudi na kujiunga ccm ndio mtakapo mfuata wote...ukweli hauko mbali kwa mwenye akili zake..HAPA KAZI TUU
Kama kila utakaye gombana naye atakuwa adui yako basi utamaliza dunia..inasikitisha sana kuona wanaume wakibongo nanyie mmeanza kuwa kama wanawake kutwa kuongelea bifu tuu. Kama mungu wako anakusamehe kwanini wewe usimsamehe binadamu mwenzako, acha majungu katafute kazi ya kufanya serikali ya...
Hajarudi kwa sababu ya njaa wasukuma hawana njaa wewe....kaondoka huko kwa sababu ya ubinafsi wa wachaga mtu kushikilia nafasi miaka 20 hiyo unaita nini kama sio njaa ya wachaga
Namba 1 ndio ukweli . Mabadiliko waliyokuwa wanayataka yamesha fanywa na ccm. Na kingine wamerudi nyumbani walidhani chama cha wachaga kitawafaa wakaenda kukutana na ubinafsi ambao hawakuuzoea ikabidi warudi nyumbani kwao... go east and west home is best.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.