Recent content by mipango99

  1. M

    Nimechoka! Jirani ananifuturisha mihogo na uji kila siku. Nifanyeje?

    Mda waftar.siutoke uende masdj ubwabwa
  2. M

    Nanauka: Madereva Bodaboda, Bajaji wamepatiwa nafasi 300 za kazi, Dubai

    Dubai..unashtukia uko Russia vitani mstari wa mbele..shoboka uone
  3. M

    Vurugu za 29.10.2025, hakuna Msiba ulisafirishwa kwenda Zanzibar

    Lawma zote..zielekezwe kwa lile lizee lakukenua meno mda wote..hilo ndolimebakia kama listaafu linashindwa kufanya jambo kisa lina mkula b.macho nakufinyiwa ndani
  4. M

    Hapo nyumbani kuna mwembe Baba yake na Babu (Babu mkubwa) aliutumia kujificha wazungu wasimkamate

    Usimlaumu babu yako huenda kipindi hicho Alikuwa sahihi hakujua kama leo hii duniani kungenoga,namna hii nadhani angekwepo mpaka sahivi angeshafungwa kwa biashala yake yakuuza pembe zandovu,na hakika mpaka sahivi bado angeendelea kujificha asikamatwe na Makwela
  5. M

    Kutoka Makamu Mpaka Mateka: Je, Huu ni Uongozi wa Katiba au ni Deni la Fadhila kwa Mzee wa Remote

    Hakuna lenye mwanzo,likakosa namwisho,watapita watakuja wengine wenye uchungu nashamba la bibi
  6. M

    Baada ya maafa ya maandamano ya MO29, sidhani kama watanzania wana nguvu ya kuandamana tena kwa miaka 20 ijayo, watu wanaogopa sana maandamano

    Wana bahati..hawa nyumbu waliwahi kuzuia barabara zakuingia town ..lasivyo Ngoja tu tumeanza kuzoea hizo risasi zao ..next time vitaumana kama wasipo jifunza wakabadilika
  7. M

    Nyaraka za Siri za Epstein: Kisiwa cha Mnemba kama 'Uchochoro' nchini Tanzania

    Kuna yule mzee mstaafu awamu ya..wakutabasamu mdawote na mwanae wakiume, mwenyekidot hawezikosekana kwenye hizo failii
  8. M

    Hivi hawa Waarabu wanaochinja chinja makondoo daily..wana agenda gani nyuma ya pazia?

    Ishu..ni mwarabu siodini ,kwann analeta kekundu kekundu
  9. M

    Hivi hawa Waarabu wanaochinja chinja makondoo daily..wana agenda gani nyuma ya pazia?

    Ukitoa sadaka ya chakula.. Kiungwana inabidi nawe ushiriki hata kula kidogo..lakini kwa mwarabu hatakugusa na mkono wake hataki nikunyosha kwa vidole
  10. M

    Hivi hawa Waarabu wanaochinja chinja makondoo daily..wana agenda gani nyuma ya pazia?

    Yani hapo niwale waliokosa wanaendelea kusubiri..mwarabu afanye namna
  11. M

    Hivi hawa Waarabu wanaochinja chinja makondoo daily..wana agenda gani nyuma ya pazia?

    Mbona wenyewe..hawataki kuzila wanawaachia wamama wawatu..wanachukua wengine wanauza ..na mwarabu alivyo Majanja anawapikia naubwabwa iliawakamate vzr..na wanapumbazika kwelkwel wamekuwa ,kama mazombi nihawaelewi ,utakuta mtu kuanzia saa 11 asbuh anasubiriwa nyama mpk saa 10 anapata kanusu au utumbo
  12. M

    Hivi hawa Waarabu wanaochinja chinja makondoo daily..wana agenda gani nyuma ya pazia?

    Naitakua kweli..maana katika purukushani zawamama kugombea mmoja akamdunga kisu ya shingo mwenzake..sema hajafa
  13. M

    Hivi hawa Waarabu wanaochinja chinja makondoo daily..wana agenda gani nyuma ya pazia?

    Nawanachinja wanashindana kuchinja .niasubuh na jioni Mpaka najiuliza au ndokimbola mafuta yasiishe huko kwao
Back
Top Bottom