Inasikitisha sana! Ni kama vipofu yaani wanaona kufanya ivo ni vizuri baada wangeunganisha nguvu ili waiondoe ccm wenyewe wanakalia ujinga TZ hatutokaa tuendelee kwa
Slaa hata agombee vip hawezi kuwa rais! Mbowe kumteua EL yuko sahihi ameona mbali, ccm kwa sasa wanaogopa uteuzi wa EL maana ni changamoto kubwa! Kikubwa hatuitaki ccm mwaka huu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.