Jamani niseme tu kuwa hawa mtu na mtoto wake wamefanya limbwata hapo,kwa hawara na mume wa ndoa sio bure na chamsingi ww dume hebu kunywa mkojo wako wa asubuhi kama robo kikombe hv halafu mwagia chumvi mlangoni kwako leta mrejesho
Punguzeni kula vyakula vya wanga na mafuta mengi,mwanaume anakula chips,nyama choma kama fasion, unatakiwa kwa week mbili unaacha kula hivo kazana mboga za majani maziwa karanga na matunda viwe daily mezani, na mazoez ya viungo kwa wingi
Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
Kwanza nawashukuru wanajf kwa mawazo yao mazuri yakujenga,kufurahisha ukiwa na stress zako zinaisha lkn pia sitakuwa na fadhila nisipowashukuru wenyekejeli kwa comment zao maana nao ni sehemu ya challenge ktk life stile zetu
Naomba wanajf toeni mawazo iwe msaada wanaume wengi leo wanshindwa...
Member tunatoka hapa wa kwanza mm, na ktk group updated ni magari tu ndo maudhui ya group kichwa cha somo in kama hiki hapa kwenye jf hapa picha hazifunguki nyingine na hazionekani vzr
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.