Habari wanajukwaa.
Mnamo mwanzoni mwa September mwaka huu nilitengeneza kadi ya malipo ya mtandaoni(master card) kwa kutumia akaunti ya mix by yas.
Kadi ile ilikuwa kwa ajili ya malipo ya ticket ya ndege kupitia kampuni ya uwakala ya ndege. Baada ya kutengeneza hiyo kadi nikafanya malipo, hela...
Wadau itabidi niandike Uzi mwingine naona mnafikiri tumeachanaaa...
Halooo Mimi natajiri anizike yeye au nimzike.
Nampenda sana.
Nayeye ananipenda.
Mimi ndo roho yake.
Tupo sana na tutakuwepo.
Yalikuwa mambo mageni.
Ila Sasa nimeyazoea ananipenda sana ninampenda sana.
Bado tupo pamoja mambo mazuri na makubwa tumeshafanya na tunategemea kufanya makubwa zaidi.
Kama Mimi nilipata humu mwanaume mwenye mpenzi na tabia nzuri basi hata wewe acha makasiriko utapata mwanamke mzuri, mwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.