Habari wakuu.. ninaomba msaada kuhusu hizi Batholist Cyste
Nilifanyiwa operation mwezi wa 11 mwaka jana baada ya kuwa na vipele vigumu kwenye ukuta wa uke na vilinitokea kwenye shavu moja la uke.. na hata shepu ya uke ilibadilika coz lile shavu lenye viuvimbe lilikuwa lefu kuliko jingine...
Mm n mwanamke. Na kila niogapo n lzm nijisafishe kuhakikish K' ipo ktk hali ya usafi . Na km kuna tofaut lzm nitafutie ufumbuz cz hapo mwanzo haikuwa hv. hayo ya kujigegeda mm siyajui
Habari wana Jf.. nina tatizo la kuwa na vipele vigumu kwenye kuta za mashavu ukeni. Nimekuwa nikisumbuliwa na hili tatizo kwa muda mrefu. Nimekuwa nikitumia dawa bila mafanikio.. mwanzon vilikuwa pande zote mbili lakini kwa sasa vipo upande mmoja .
Haviumi na havitoi harufu. Napata normal...
Habari wakuu .. nimepata tetesi kuwa Azania bank wameanza kuita watu kwa ajili ya interview na itafanyika chuo cha IFM .. mwenye updates kamili atujuze maana hata mimi nimeapply lakini sijapigiwa simu.
Hello Dada farkhina .. n Mara yNgu ya kwanza kukoment humu but huwa naingia na kuchukua maujuzi ya kupika kimnyakimnya .. sorry for that .. but now ntakuwa active I hope .. nataka kujua tofauti ya aina hizi za pilipili
Pilipili mbogA
Pilipili hoho
Pilipili manga
Pilipili ya kuwasha .. na je...
CALL FOR INTERVIEW
TANZANIA PETROLEUM DEVELOPMENT CORPORATION
TPDC Managing Director is pleased to invite the following shortlisted candidates who
applied for various posts in respect to the advertisement on career opportunities made in
the newspapers and in the Corporations website, to appear...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.