Recent content by Mimina wewe

  1. M

    JamiiForums Tanzania Hatari sana vijana wenzangu

    Ni kama mwezi mmoja uliopita tumemzika kijana mwenzetu kutokana na kifo cha ajabu kilichomshitua kila mtu kutokana na mazingira yake ilhali vijana wengine wawili wakiwa kwenye mateso na maumivu makali kutokana na tukio hilo lililomchukua kijana mwenzetu. Hii imetokea mkoani Geita. Kijana...
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nmechanganyikiwa sielewi nifanye nini.

    Sa we wasiwasi wako nini?!. Kuchelewa kukwambia na kutokukwambia kabisa kipi boro tena mwenzio kakwambia aliogopa kukwambia mapema kwa vile anakupenda na alihofia huenda angekwambia mapema ungekataa asikuoe. Kikubwa hapa heshimu maamuzi ya nafsi yako na pia kuwa makini yasijetokea km ya...
  3. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maneno gani yawewahi kukukera ukahairisha kutoa au kumpa mgegedo mwenzi wako.

    Me kuitwa bebie kunankataga stimu kabisa.
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahisi ananipenda ila anaogopa kuniambia!.

    Ahsante kwa ushauri wako mzuri. Ukweli nimepata mambo meng mazuri toka kwenu ambayo kabla niliyachukuli kawaida bt now ntaanza kuyafanyia kazi.
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahisi ananipenda ila anaogopa kuniambia!.

    Ahsanteni kwa ushauri wenu ndugu zangu, ntajitahidi kuzingatia na kuyafanyia kazi mawazo na ushauri wenu.
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahisi ananipenda ila anaogopa kuniambia!.

    Ahsante sana ndugu kwa ushauri wako ntajitahidi sana kuufanyia kazi ushauri wako.
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahisi ananipenda ila anaogopa kuniambia!.

    Nashukuru kwa ushauri wako bt muhusika sio member humu ndani.
  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahisi ananipenda ila anaogopa kuniambia!.

    Hili nalo neno ndugu yangu.
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahisi ananipenda ila anaogopa kuniambia!.

    Nashukuru kwa ushauri wako mzuri kaka, ntajitahidi kuufanyia kazi.
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahisi ananipenda ila anaogopa kuniambia!.

    Mazingira ndo tatizo kubwa ktk kutimiza ushauri wako coz binti bado anaishi kwao bt ikipatikana nafasi km hiyo naamini kila kitu kitakuwa sawa.
  11. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahisi ananipenda ila anaogopa kuniambia!.

    nilishamwambia kila kitu bt hakunijibu moja kwa moja zaidi ya kuniambia TUSUBIRI KWANZA, nilipomkumbusha akasema NISIWE NA HARAKA WALA WASIWASI. naona dalili zote za yeye kuvutiwa na mimi ila tatizo limekuwa kwa yeye kutamka ANANIPENDA PIA, nimejaribu njia nyingi sana kumfanya awe huru kwangu bt...
  12. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahisi ananipenda ila anaogopa kuniambia!.

    Kweli nna malengo naye, nmejaribu kufanya mambo mengi sana ambayo yangemfanya ajisikie huru kwangu, ikiwa ni pamoja na kumuomba nimtoe out ila ikashikana kutokana na mazingira ya nyumbani kwao. Ila kutokana na kauli zake inanibidi niwe mvumilivu japo naumia sana nafs.
  13. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahisi ananipenda ila anaogopa kuniambia!.

    Ni kweli bt unapomtongoza mtu akaonyesha dalili zote za kuwa na wewe bt akawa anashindwa kuwa muwazi kwako unafanyaje?. Hiki ndicho knachonisumbua mimi kaka.
  14. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahisi ananipenda ila anaogopa kuniambia!.

    Naona bt tatizo kla nnapojaribu kumfanya awe huru kwangu bado amekuwa haeleweki na mimi nashindwa kufanya pupa coz keshaniambia NISIWE NA HARAKA WALA WASIWASI, pia inawezekana ata mazingira ya kwao yanachangia, hivyo nilipenda nipate njia mbadala kwenu ndugu zangu.
  15. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahisi ananipenda ila anaogopa kuniambia!.

    Ndio nalitambua hilo, bt tatizo na jinsi ntavyoweza kumfanya awe huru kwangu!.
Back
Top Bottom