ungefata ushauri wa juu. ndo,maana walioangalia wengi 200+ michango chini ya 10. watanifuata maake bado hujafuatwa jiulize kwanini? kama muuzaji utajifunza
Kama ndoa bado mpya wewe furahia itafika mda utaanzisha uzi mwengine mune wangu hanipi akinipa kimoja tukuoe ushauri kabla hujafanya uamuzi. Kikubwa ukitumia uanamke wako vyema utakuwa mke, rafiki, mshauri, business partner na mtapeana hata umbea.
Kwa sasa acha arudishe mahari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.