Nimejitosa kuchangia kwa sababu kuna hoja mtambuka kwa mitazamo
Kimsingi hakuna bahati mbaya tuliyo nayo kama kuwapima chama tawala CCM kwa kauli zao zinazojikanganya na kukinzana. Sisi na Malasia tulipata uhuru mwaka mmoja. Tofauti tuliyo nayo kimaendeleo na kijamii ni mbingu na nchi. On that...
Usishangae rangi ya zambarao inayoonyesha umburula wao, jiulize ile nembo ya kwenye bendera yao tafsiri yake ni nini? Hao ndio vijana wasomi waliopikwa na kupikika na CCM kuhujumu demokrasia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.