Recent content by Mimibaba

  1. Mimibaba

    Kasulu, kigoma: Ukawa jiandaeni kwa maamuzi magumu.

    Umethibisha nilichokisema
  2. Mimibaba

    Kasulu, kigoma: Ukawa jiandaeni kwa maamuzi magumu.

    Nimejitosa kuchangia kwa sababu kuna hoja mtambuka kwa mitazamo Kimsingi hakuna bahati mbaya tuliyo nayo kama kuwapima chama tawala CCM kwa kauli zao zinazojikanganya na kukinzana. Sisi na Malasia tulipata uhuru mwaka mmoja. Tofauti tuliyo nayo kimaendeleo na kijamii ni mbingu na nchi. On that...
  3. Mimibaba

    ACT-Tanzania: CCM ni gonjwa, limezoea dawa, sasa tulibadilishie dawa..

    Haya ona rangi zako unaishambulia CUF kana kwamba umewafumania. HUdhuria semina za Dr. Kitila na Zitto uelimike kuhusu kuwa msaliti mwendelevu.
  4. Mimibaba

    ACT-Tanzania: CCM ni gonjwa, limezoea dawa, sasa tulibadilishie dawa..

    Usishangae rangi ya zambarao inayoonyesha umburula wao, jiulize ile nembo ya kwenye bendera yao tafsiri yake ni nini? Hao ndio vijana wasomi waliopikwa na kupikika na CCM kuhujumu demokrasia.
  5. Mimibaba

    ACT-Tanzania: CCM ni gonjwa, limezoea dawa, sasa tulibadilishie dawa..

    Najua mmeipeleka CC ya CCM ikapitishwe maana kwa taratibu gani msajili amewapa usajili huku hamna katiba? INAWEZEKANA TANZANIA TU
  6. Mimibaba

    ACT-Tanzania: CCM ni gonjwa, limezoea dawa, sasa tulibadilishie dawa..

    Jibu hoja usilete voja, iko wapi katiba yenu?
  7. Mimibaba

    Wasaliti wa mabadiliko nchini hawa hapa

    Jipe matumaini, halafu tafuta nguo za kujistili uvae
  8. Mimibaba

    MAAZIMIO YA KIKAO CHA BARAZA KUU LA UONGOZI LA TAIFA LA CUF Tarehe 03-05 MEI 2014

    Bunge lipi? Kama ndilo la katiba tayari ni mkutano mkuu wa chama tawala
  9. Mimibaba

    MAAZIMIO YA KIKAO CHA BARAZA KUU LA UONGOZI LA TAIFA LA CUF Tarehe 03-05 MEI 2014

    Siku njema za Mungu haziishi ni pambazuko la uhakika
  10. Mimibaba

    CHADEMA yaikaba Kooni CCM Temeke, Kigaila na Kileo wawaongoza Mamia Kudai Serikali tatu.

    Wakati mwingine sikuelewi kama unatania au unaweweseka
  11. Mimibaba

    Zitto Kabwe ang'ara Kimataifa

    Mh. mbunge wa kigoma kaskazini ni msaliti; ubunge wake umeshikiliwa na mahakama na si chadema. Ni mwenyekiti wa ACT hilo unalijua simamia imani yako.
  12. Mimibaba

    Mwigulu Nchemba anaaibika hapa Gairo...

    Pole mama mambo ndivyo hivyo
  13. Mimibaba

    Wasaliti wa mabadiliko nchini hawa hapa

    Kuthibitisha hakutabadiri ukweli
  14. Mimibaba

    Utapeli mpya unaohusisha wanasiasa

    Ni afadhali umeliona hilo la sasa kwani lipo na litaendelea kuwepo kwenye utawala huu ambapo sheria ziko jela
Back
Top Bottom