Recent content by mimi nimeelimika

  1. mimi nimeelimika

    JamiiForums Tanzania Escrow ESCROW ESCROW

    umeme mtaan hamna hiv kuna mgao au ni nn?
  2. mimi nimeelimika

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri Bungeni: Ijumaa, 28 Novemba 2014 (Hatma ya Sakata la Tegeta Escrow Account)

    inaonekana kuna mkakati ulikua umeandaliwa kwa ajili ya kuwalinda wezi wa pesa zetu
  3. mimi nimeelimika

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri Bungeni: Ijumaa, 28 Novemba 2014 (Hatma ya Sakata la Tegeta Escrow Account)

    hii ni aibu kwa taifa letu.kumbe ndo maana mmekata umeme ili tusijue maovu yenu
  4. mimi nimeelimika

    JamiiForums Tanzania Kutoka Dodoma: Pinda, Werema na Muhongo wataka zigo la Escrow abebeshwe Kikwete!

    hebu tuweke mambo sawa hapa.na je akishajiuzuli atapelekwa mahakaman au ndo ile FUNIKA KOMBE MWANAHARAMU APITE
  5. mimi nimeelimika

    JamiiForums Tanzania Mdahalo wa Katiba uliohairishwa, sasa kufanyika 25/11/2014 katika ukumbi wa Mlimani City, Dar

    huyu mzee anawatumikia wananchi mwache atuelimishe tuujue ukweli
  6. mimi nimeelimika

    JamiiForums Tanzania Mdahalo wa Katiba uliohairishwa, sasa kufanyika 25/11/2014 katika ukumbi wa Mlimani City, Dar

    naungojea kwa hamu nami nielimishwe maana hii katiba inayopendekezwa nimeisoma siielewi kabisa.huenda warioba polepole butiku na wengineo wakanifumbua
  7. mimi nimeelimika

    JamiiForums Tanzania Ndani ya saa 12 zijazo Jaji Werema kujiuzulu kunusuru Serikali kuanguka

    kwanza kabisa naomba tuelewane kujiuzulu sio shida swali ni je wakishajiuzulu na hatua gani zinafuata kwa walishajiuzulu wengi lkn hakuna hatua zizote ambazo zimechukuliwa mpaka leo.
  8. mimi nimeelimika

    JamiiForums Tanzania Hata ikithibitika Fedha za Escrow ni za Wizi, Nawahakikishia, Hakuna Yeyote wa Kuwajibika

    na hata mimi nianze kwa kusema hata mimi hata sent moja sijagaiwa. pili kama kafulila alivyosema leo bungen huu ni mtihan kwa hili bunge kama kweli wanaishauri na kuisimamia serikali.yetu macho na maskio tuone kama wana hio dhati kutoka moyoni kuisimamia serikali.
  9. mimi nimeelimika

    JamiiForums Tanzania Mahakama yaingilia Bunge kuzuia suala la Escrow lisijadiliwe!

    kama mafisadi wamefikia hatua ya kuirubuni mahakama kuu nchini ili waitumie kwa masilai yao hii nchi tunakoelekea ni pabaya.najiuliza mm mlala hoi nitapata haki kweli nikiwa na shida? maana tayari mahakama imetekwa na wenye pesa
  10. mimi nimeelimika

    JamiiForums Tanzania Freeman Mbowe amwangukia Zitto, Kamati yaundwa rasmi kuwakutanisha

    mlengo wa kati naungana na ww maana hili jambo lina maana kubwa sana
  11. mimi nimeelimika

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leo ni mwisho kabisa nimechoka

    kuna harufu ya kausaliti
  12. mimi nimeelimika

    JamiiForums Tanzania Kutoka Mwakyembe hadi Zitto Kabwe

    hili limuvie sijui litaishaje maana tayari scrash tayari zimeanza na na ndo maana najiuliza hii muvi itaisha salama kweli.
Back
Top Bottom