Mimi ni msichana mwenye miaka 24 nina mtoto mmoja mdogo,baba yake alifariki mtoto akiwa mchanga.Najiuliza sana nitaweza kupata mume atayempenda mwanangu kama baba yake mzazi na ndoto zangu zikatimia za kuwa na familia?Na nitaweza kupenda tena kama awali..Nisadieni kwa mawazo ila plz nawaombeni...
tabia ya mtu haihusiani na urefu wala ufupi.omba Mungu upate mke mwema si umbile lake na mpendane kweli.Tena futa kauli yako utapigwa kofi na Mungu kwa ubaguz wako
hawo wazuri na warembo wakoje unadhani wanatolewa out na wanaume wa ukweli?kuwa online si kwamba umeshindwa kutoka out bali unapenda kupata habari mbalimbali na kuexchange ideas na watu tofauti tofauti
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.