Pascal tangu aseme amejiunga na CCM hata thinking capacity yake imekuwa low sana. Analeta issue ambayo mahakamani walishindwa kuithibitisha? Ila kweli mayala mbaya sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwako wewe mizigo ya Zambia kutoka Tanzania ndio suala kubwa sana!! Hivi Msumbiji hakuna bahari, South Africa hakuna bahari? Acha mawazo mfu hayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulivyoanza sikukuelewa kabisa, almanusra nianze kukujibu. Nikijipa moyo konde acha nimalize kumsoma huyu Mh, nimekuelewa sana.
Ni kweli Chadema hawana uwezo wa kumfuta mtu ubunge, Ila wanauwezo wa kumfuta uanachama. Baada ya hapo ubunge unakoma mara moja" Nanukuu tena ubunge unakoma mara...
Jamani sio hawezi kupokea la hasha, hawezi kuongea kiingereza. Yeye angefanya kuidivert simu yake iende hata kwa Mh Mbowe ili aongee kwa niaba yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona unafikiri kwa kutumia masaburi, CCM hatuna ubavu wa kushindana na CDM kwenye uwanja huru. Ebu tujaribu tuone, watoke ma DED, Watendaji, Polisi, Nec na wengine wawe huru, tunapigwa asubuhi saa mbili.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.