Hao watu nawajua, kuna hp spectre x360 walikua wanauza kwa 450k, wakasema wapo dom jengo hilo hilo, kidg nitume hela, bt kuna ndugu yangu yupo jengo hilo hilo nikamuomba anichunguzie, ndo kunishtua kwamba kweli wapo kwenye jengo hilo, na hiyo pc ipo, ila ni 3.5mil, huyo jamaa anamfaham ni...