Ujumbe unaosema “Some accounts prefer manually review followers even when they are public” una
maana kuwa baadhi ya akaunti zimeweka mipangilio/privacy terms ya kiusalama au faragha inayoruhusu wamiliki wa akaunti hizo kupitia manual wale wanaowafuata, hata kama akaunti zao ni za umma...
reports suggest that users can follow between 100 to 200 accounts per day, depending on their account's activity and history.
Exceeding these limits might temporarily block you from following more accounts for a short period. It's recommended to keep the number moderate to avoid triggering...
Haha hiyo oppotion kama sisi normal users hatuna uwezo wa kuifuta account zetu wenyewe, lakini kwa experience yangu kwenye systems, hiyo oppotion imeondolewa/hided ila ipo, kwa super user.
Tumia barua pepe ya urejeshaji: Ikiwa uliweka barua pepe ya urejeshaji wakati wa kufungua akaunti, unaweza kuchagua njia ya kupata msimbo wa kuthibitisha kupitia barua pepe hiyo badala ya namba ya simu.
Maswali ya usalama: Wakati mwingine, Google inaweza kukuuliza maswali ya usalama ambayo...
Jamani IT,sio programmers pekee, japo huko ndiko chimbuko la kila information technology. Networking, database, AI etc
Mleta Uzi , Kuna jambo ulitaka ku propose,
Mimi nilikuwa nafikiri kuwe na online platform ya ma IT, wa bongo.
Kwa ajili ya display ya bunifu zao, ikilenga sekta mbalimbali...
Wavuvi wa kitanzania wawezeshwe kuumiliki uchumi wa Buluu kwenye sekta ya uvuvi, kwa kuvua samaki kisasa, kuwachakata viwandani (kuwaongezea Thamani), na Wao Wavuvi wa kitanzania kuwauza samaki MOJA Kwa MOJA kwenye Soko la kimataifa pasipo madalali kuwepo katikati Yao.
Tide-of-Injustice-SWIO-report
Published April 2024
Hii report ina page 64 in English language natamani kila mtanzania aisome hii report.
Kuna mambo mengi ambayo hatuyafahamu kuhusu uchumi wa Buluu unaohusiana na uvuvi.
Uchumi wa Buluu kwa Tanzania tuna Maanisha ni uchumi utokanao na Anga utalii ,na vyanzo vya maji (Bahari, Mito, maziwa, chemchem).
Mada yangu itajikita kwenye vyanzo vya maji na hasa uchumi wa uvuvi utokanao na Bahari na kwenye maziwa makuu ,hapa nchini.
Sisi wa Tanzania kupitia serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.