Recent content by milemele

  1. milemele

    Sababu za uume kusimama usiku bila ya kuwa na hisia za kufanya mapenzi

    Jamuhuri ya muungano wa Tanzania? Wakuu hili ni tatizo au ni afya njema, nipo na kama miezi 7 au na zaid nagombana na wife anasema usiku namuwaza mubebe wa nje ndo maan bwan dullah bichwa wazi anasimama sima usiku, kila nikijaribu kumuelezea kuwa hua sina hisia zozote za mapenzi zinazopelekea...
  2. milemele

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    si ile aliuza chumba mala mbili,hivyo hela ya pili alichukua yeye haijaingia kwenye hesabu ya boss
  3. milemele

    Hivi klabu za Kariakoo zinatuchukuliaje sisi mashabiki?

    Mwananchi tayar kashatambulisha galasa lake huko
  4. milemele

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Alooo hata ukifa leo huna deni mwamba daaah,
  5. milemele

    Huyu binti ameniletea balaa

    hahahahaha daaah
  6. milemele

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    hahahaha daah umenikumbusha zenji mkuu kitu cha boflo
  7. milemele

    Yuko wapi msanii Phillipo Nyandindi (O-TEN)

    mwaka juzi nilimuona uwanjan kule kigurunyembe chuo cha walimu daah yupo mitungi vby,anayumba tu yaaan
  8. milemele

    Hii ndiyo St. Marys Mazinde juu iliyotoa Tz One Form Six

    Anayejua ada shilingi ngapi wakuu
  9. milemele

    Kishika uchumba ni shilingi ngapi?

    Jamaa alionekana muongo kuanzia kwa mchumba mpaka wazazi,na wale wajomba/shangazi waliokuja kusoma barua wameona jamaa ana dharau barua imefunguliwa kabla haijafika kwa wahusika,yaani ilikua kituko cha kiwango cha lami
  10. milemele

    Kishika uchumba ni shilingi ngapi?

    hahaha umenikumbusha jamaa ang mmoja kawatuma mjomba na rafiki ake wapeleke barua ndan kaweka 35000,wamechana wamegawana kumikumi imebak 15 elfu,mbaya zaidi alishawasiliana na mtarajiwa wake kua kesho mjomba ataleta barua na nimeweka 35 tu naomba muipokeee,duuh kilichotokea balaa tupu kumbe nae...
  11. milemele

    New song: Eneka by Diamond Platnumz

    ina bonge la kichupa ila sina ruhsa ya kuiweka hapa
Back
Top Bottom