Kama ukifanikiwa kuuona utasadiki na wala siuzi kienyej brother ni hadi wateja wangu wanapoona ndipo nafanya nao biashara ...ukihitaj unaona kwanza ndipo biashara inafuata
Mimi ndo muuzaji wa huo mchele na ninaposema wa kyela ni wa kyela haswaaaa na bei YANGU ndo hyo , na uzuri ni biashara ambayo inaonekana kwa mnunuzi kabla hata hajanunua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.