Habari wa ndugu, kwa yeyote anaehitaji notes bora za kujisomea, kufundishia na pia vitini vya maswali na majibu katika masomo ya o,level na Advanced level yote yanapatikana.
Tunapatikana Dar es salaam na Mbeya
wasiliana nasi kwa:-
+255755944311/0715644311
au
+255717919200/0755662773
Takiribani wiki mbili sasa wanafunzi wa bse mwaka wa pili st.Joseph dar wamesimamishwa masomo kisa kudai meal and accomodation iliyocheleweshwa mwezi mzima na kuwafanya wanafunzi kuishi maisha magumu sana,
NACTE okoa maisha ya wanafunzi hawa.
Wanafunzi wa mwaka wa pili kitivo cha ualimu imetokea wanalala na njaa na kufukuzwa kwenye nymba walizopanga kwa kukuchelewesha meal and accommodation jaman wahusika serikalini hebu liangalie hili huenda kukatokea mgomo mkali sana ambao haujawahi kutokea hapa Tanzania.
Mpaka sasa wanafunzi wa mwaka wa pili hakuna kinachozungumzwa kuhusu boom cjui wanatutakia nn maana tumehishiwa tunafukuzwa kwenye nyumba tulizopanga Kodi mkataba umekwisha,tunakula kwa taabu. Je! hii ni haki?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.