Recent content by Mikhail Tal

  1. Mikhail Tal

    Consulting Associates Wanahitajika

    Powa mkuu ntakutumia DM kesho
  2. Mikhail Tal

    OC - CID Mafwele ni nani? Kwanini haguswi na uhamisho wa Polisi nchini?

    Sijawahi hata kumuona kwenye TV huyu jamaa.
  3. Mikhail Tal

    Nisaidieni kujua kiwango cha mshahara wa hii scale ya TRSS 6.1 (Ofisi ya Msajili wa Hazina)

    Naam mkuu ni ngumu mtu kujua kama hayupo kwenye mfumo. Nashukuru sana kwa hizi taarifa ngoja nimalizie mchakato wa kuzi apply.
  4. Mikhail Tal

    Nisaidieni kujua kiwango cha mshahara wa hii scale ya TRSS 6.1 (Ofisi ya Msajili wa Hazina)

    Mimi nimekuelewa sana na naamini unachosema mkuu. Nashukuru sana kwa taarifa. Basi ngoja niipambanie hii nafasi.
  5. Mikhail Tal

    Nisaidieni kujua kiwango cha mshahara wa hii scale ya TRSS 6.1 (Ofisi ya Msajili wa Hazina)

    Naona wanasema ni 5.5m na mimi naamini itakuwa hivo. Yaani senior serikalini halafu ulipwe 1.5m, hai make sense. Kwahiyo unaweza kujitosa tu na wewe
  6. Mikhail Tal

    Consulting Associates Wanahitajika

    Maana mimi nna kazi rasmi tayari ila nipo vizuri sana kwenye business plans writing, financial modelling, na market research. Kwahiyo nataka just kupanua wigo wa kipato nje ya kazi. Unaweza kuniweka kwenye pipeline, endapo ukiwa na kazi kwenye hayo maeneo niliyoainisha hapo.
  7. Mikhail Tal

    Nisaidieni kujua kiwango cha mshahara wa hii scale ya TRSS 6.1 (Ofisi ya Msajili wa Hazina)

    Ninayotaka kuomba ni senior management analyst. Duh, basi kama ni 5.5 basic sio mbaya ngoja nijitose
  8. Mikhail Tal

    Nisaidieni kujua kiwango cha mshahara wa hii scale ya TRSS 6.1 (Ofisi ya Msajili wa Hazina)

    Mmh kweli mkuu? Maana sahiv napokea 2.6, so naweza hama kumbe
  9. Mikhail Tal

    Nisaidieni kujua kiwango cha mshahara wa hii scale ya TRSS 6.1 (Ofisi ya Msajili wa Hazina)

    Asante sana kumbe sio mbaya sana. Na hapo kuna marupurupu au ndo kutegemea mshahara tu?
  10. Mikhail Tal

    Nisaidieni kujua kiwango cha mshahara wa hii scale ya TRSS 6.1 (Ofisi ya Msajili wa Hazina)

    Hamna majibu mpaka sasa. Duh! Au hamna wanaofanya kazi hapo?
Back
Top Bottom