Miezi kama 4 ilopita nilikuwa nina hali mbaya sana nilikuwa siwezi hata kutembea, miguu ilikuwa dhaifu sana na nilikuwa nina ganzi kwenye miguu na mikono. Niliendaga hospitali nikaambiwa nitumia vitamin b complex, ila sasa hiyo dawa niliandikiwaga lakini sikuipata, nikawa natumia b complex za...
Nimeitafuta sana huku ninapoishi Morogoro ila sijaipata.
Najua Dar es salaam ipo ila sijui ni wapi, naomba msaada wa duka kubwa hapo Daresalam ninapoweza kupata hii dawa. Nawasilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.