Recent content by Mikhail Tal

  1. Mikhail Tal

    JamiiForums Tanzania Nilikuwa sekta binafsi nimehamia serikalini, kuna namna naweza nikapewa michango yangu iliyopo NSSF?

    sawa sawa mkuu, ila mimi nilitaka kama naweza kuzichukua
  2. Mikhail Tal

    JamiiForums Tanzania Nilikuwa sekta binafsi nimehamia serikalini, kuna namna naweza nikapewa michango yangu iliyopo NSSF?

    Wakuu salamu. Nilikuwa mwajiriwa wa sekta binafsi ambapo michango yangu ilikuwa ikienda NSSF, sasa nikafanikiwa kuhama huko mwaka 2023 nakuhamia serikalini ambapo mfuko wangun kwa sasa ni PSSSF. Lakini kule NSSF nina michango yangu, hivi nauliza kuna namna naweza nikapewa hiyo michango huko...
  3. Mikhail Tal

    JamiiForums Tanzania Ujumbe wa Tahadhari kwa ndugu Faustine Mafwele

    Ni kweli kabisa. Baba ukitenda mabaya inakula mpaka kizazi cha tano. Na hayo ni maandiko ya kwenye Biblia. Yaani watoto wako, wajukuu, vitukuu hiyo dhambi lazima ile. Pona ya watoto wake au kizazi chake ni kama kuna ambaye atakuwa na roho ya Mungu ya kuomba toba kwa dhambi za wazazi na mababu...
  4. Mikhail Tal

    JamiiForums Tanzania Natafuta hii dawa "neurorubine forte"

    Sawa mkuu nitafanya hivo kabisa
  5. Mikhail Tal

    JamiiForums Tanzania Natafuta hii dawa "neurorubine forte"

    sawa mkuu asante
  6. Mikhail Tal

    JamiiForums Tanzania Natafuta hii dawa "neurorubine forte"

    Miezi kama 4 ilopita nilikuwa nina hali mbaya sana nilikuwa siwezi hata kutembea, miguu ilikuwa dhaifu sana na nilikuwa nina ganzi kwenye miguu na mikono. Niliendaga hospitali nikaambiwa nitumia vitamin b complex, ila sasa hiyo dawa niliandikiwaga lakini sikuipata, nikawa natumia b complex za...
  7. Mikhail Tal

    JamiiForums Tanzania Natafuta hii dawa "neurorubine forte"

    Asaante mkuu nitafanya hivo.
  8. Mikhail Tal

    JamiiForums Tanzania Natafuta hii dawa "neurorubine forte"

    Asanteni sana wakuu Seran Kennedy ngoja nizunguke tena kwenye hayo maduka nitatoa mrejesho
  9. Mikhail Tal

    JamiiForums Tanzania Natafuta hii dawa "neurorubine forte"

    Asante sana mkuu ngoja nizunguke huko leo
Back
Top Bottom