Recent content by Mikhail Tal

  1. Mikhail Tal

    JamiiForums Tanzania Natafuta hii dawa "neurorubine forte"

    Sawa mkuu nitafanya hivo kabisa
  2. Mikhail Tal

    JamiiForums Tanzania Natafuta hii dawa "neurorubine forte"

    sawa mkuu asante
  3. Mikhail Tal

    JamiiForums Tanzania Natafuta hii dawa "neurorubine forte"

    Miezi kama 4 ilopita nilikuwa nina hali mbaya sana nilikuwa siwezi hata kutembea, miguu ilikuwa dhaifu sana na nilikuwa nina ganzi kwenye miguu na mikono. Niliendaga hospitali nikaambiwa nitumia vitamin b complex, ila sasa hiyo dawa niliandikiwaga lakini sikuipata, nikawa natumia b complex za...
  4. Mikhail Tal

    JamiiForums Tanzania Natafuta hii dawa "neurorubine forte"

    Asaante mkuu nitafanya hivo.
  5. Mikhail Tal

    JamiiForums Tanzania Natafuta hii dawa "neurorubine forte"

    Asanteni sana wakuu Seran Kennedy ngoja nizunguke tena kwenye hayo maduka nitatoa mrejesho
  6. Mikhail Tal

    JamiiForums Tanzania Natafuta hii dawa "neurorubine forte"

    Asante sana mkuu ngoja nizunguke huko leo
  7. Mikhail Tal

    JamiiForums Tanzania Natafuta hii dawa "neurorubine forte"

    Hapo nimekosa kiongozi si hilo duka kubwa sana hapo kingalu?
  8. Mikhail Tal

    JamiiForums Tanzania Natafuta hii dawa "neurorubine forte"

    sijazunguka yote lakini ila mengi nimeikosa
  9. Mikhail Tal

    JamiiForums Tanzania Natafuta hii dawa "neurorubine forte"

    Pale waliniambia stock imeisha kwahiyo sikupata
  10. Mikhail Tal

    JamiiForums Tanzania Natafuta hii dawa "neurorubine forte"

    Hapana mkuu wangu linaitwaje, lipo pembeni kabisa na exim bank, ngoja nifike hapo leo
  11. Mikhail Tal

    JamiiForums Tanzania Natafuta hii dawa "neurorubine forte"

    Nahitaji hiyo dawa kiongozi, ninahisi nina upungufu wa vitamin b12, nipo Moro
  12. Mikhail Tal

    JamiiForums Tanzania Natafuta hii dawa "neurorubine forte"

    Nachotaka ni hiyo dawa, hata kama unayo basi nahitaji
  13. Mikhail Tal

    JamiiForums Tanzania Natafuta hii dawa "neurorubine forte"

    Asaante sana mkuu
  14. Mikhail Tal

    JamiiForums Tanzania Natafuta hii dawa "neurorubine forte"

    Nimeitafuta sana huku ninapoishi Morogoro ila sijaipata. Najua Dar es salaam ipo ila sijui ni wapi, naomba msaada wa duka kubwa hapo Daresalam ninapoweza kupata hii dawa. Nawasilisha.
  15. Mikhail Tal

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilimuonya mke wangu kuhusu kuchepuka hakunisikia. Nimefanya hii comeback sasa hivi analia tu, Pasaka chungu kwake

    Oa kabisa huyo dada na mke wa jamaa
Back
Top Bottom