Recent content by Mikhail Tal

  1. Mikhail Tal

    Kuimarika kwa shillingi ya Tanzania dhidi ya shillingi ya Kenya

    Hapo TRA anatakiwa kuhakikisha bidhaa za Kenya zinapigwa kodi ya maana ili zinapoingia huku kwenye soko letu kuwe na urari au mizania na bidhaa za ndani. Lasivo, kuporomoka kwa fedha ya Kenya kutaumiza viwanda vya Tanzania maana bidhaa zake zitakuwa expensive dhidi ya bidhaa za kenya.
  2. Mikhail Tal

    DAVOS, Switzerland: Rais wa Ukraine Zelensky akutana na kufanya mazungumzo na Rais Kagame wa Rwanda

    Now they are talking about resolving the conflict after funds are drying out...
  3. Mikhail Tal

    Tusijenge majumba makubwa tukistaafu yanachangia upweke

    Sasa kwanini asiuze anunue hiyo ndogo?? ... ilikuwa anakudanganya tu huyo ili mpate mada za kuongelea na kupiga soga. Usimuamini sana binadamu... wala hakuna majuto yoyote
  4. Mikhail Tal

    Ninaposema msilipe mamilioni kuwasomesha watoto wenu English Medium huwa namaanisha mambo kama haya

    Inawezekana wewe ndo mwenye shida, maana inaonekana upo motivated sana na pesa, kwahiyo unadhani kila mtu anafanya decision kuangalia pesa.
  5. Mikhail Tal

    Kwanini Mawazo ya biashara kwa sisi Watanzania hufanana sana. Ni uvivu wa kufikiri?

    Hakuna biashara nazichukia kama za uchuuzi. Mtoa mada yupo sahihi ila kosa lake ni kwamba hajasema tufanye nini instead
  6. Mikhail Tal

    Dili gani ulipiga likakutoa kimaisha na sisi wengine tujifunze

    Dont chase money, attract money. Dont be all about money. If your motivation is money, you will not have it. Always, find something you love, do it with passion, money will come.
  7. Mikhail Tal

    DUNIA INADAIWA ??

    For analysis purpose.
  8. Mikhail Tal

    DUNIA INADAIWA ??

    Kama ambavyo wewe unaweza kuwa na deni benki la milioni 50 wakati jumla ya mshahara wako kwa mwaka ni milioni 25. Walichofanya ni kuchukua idadi ya mikopo yote duniani na kuijumlisha pamoja
  9. Mikhail Tal

    Ni wazi Zitto Kabwe na ACT Wazalendo wamepotea

    ulisema vema... yanatimia
  10. Mikhail Tal

    JamiiForums Usiku wa manane

    Upepo mkali sana Morogoro
  11. Mikhail Tal

    Huku ndoa yake ikipumulia mashine, Jack Wolper apata bwana mpya!

    kwani huyo bwanake wolper ni kabila gani? mkinga au
  12. Mikhail Tal

    Huku ndoa yake ikipumulia mashine, Jack Wolper apata bwana mpya!

    Aisee hiyo nyumba ni kali.... kwa nje tu inaonekana sio chini ya milioni 400
  13. Mikhail Tal

    Mazingira ya rushwa uhamisho wa watumishi wa Umma

    Yupo mkoa mara... itawezekana mimi nipo moro
Back
Top Bottom