Hapo TRA anatakiwa kuhakikisha bidhaa za Kenya zinapigwa kodi ya maana ili zinapoingia huku kwenye soko letu kuwe na urari au mizania na bidhaa za ndani.
Lasivo, kuporomoka kwa fedha ya Kenya kutaumiza viwanda vya Tanzania maana bidhaa zake zitakuwa expensive dhidi ya bidhaa za kenya.
Sasa kwanini asiuze anunue hiyo ndogo?? ... ilikuwa anakudanganya tu huyo ili mpate mada za kuongelea na kupiga soga.
Usimuamini sana binadamu... wala hakuna majuto yoyote
Dont chase money, attract money.
Dont be all about money.
If your motivation is money, you will not have it.
Always, find something you love, do it with passion, money will come.
Kama ambavyo wewe unaweza kuwa na deni benki la milioni 50 wakati jumla ya mshahara wako kwa mwaka ni milioni 25.
Walichofanya ni kuchukua idadi ya mikopo yote duniani na kuijumlisha pamoja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.