Wakuu salamu. Nilikuwa mwajiriwa wa sekta binafsi ambapo michango yangu ilikuwa ikienda NSSF, sasa nikafanikiwa kuhama huko mwaka 2023 nakuhamia serikalini ambapo mfuko wangun kwa sasa ni PSSSF. Lakini kule NSSF nina michango yangu, hivi nauliza kuna namna naweza nikapewa hiyo michango huko...
Ni kweli kabisa. Baba ukitenda mabaya inakula mpaka kizazi cha tano. Na hayo ni maandiko ya kwenye Biblia. Yaani watoto wako, wajukuu, vitukuu hiyo dhambi lazima ile. Pona ya watoto wake au kizazi chake ni kama kuna ambaye atakuwa na roho ya Mungu ya kuomba toba kwa dhambi za wazazi na mababu...
Miezi kama 4 ilopita nilikuwa nina hali mbaya sana nilikuwa siwezi hata kutembea, miguu ilikuwa dhaifu sana na nilikuwa nina ganzi kwenye miguu na mikono. Niliendaga hospitali nikaambiwa nitumia vitamin b complex, ila sasa hiyo dawa niliandikiwaga lakini sikuipata, nikawa natumia b complex za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.