Muombe Mungu akusamehe.....manake si ajabu we unaejiona mzima ukamtangulia. Kina Mtoi walikuwa watoto na afya zao lakini Mungu amewachukua. Mungua ndo anaejua kesho ya mwanadamu.
Muombe Mungu akusamehe.....manake si ajabu we unaejiona mzima ukamtangulia. Kina Mtoi walikuwa watoto na afya zao lakini Mungu amewachukua. Mungua ndo anaejua kesho ya mwanadamu.
Acha kuwazia makalio wewe....utaje mawaziri kwan katiba inasema mawaziri wanatokana na nini? Si wabunge!
Sasa wabunge washachaguliwa,? Subiri kuna vichwa kibao tu vinakuja vipya na venye mtazamo wa mabadiliko. Kuna waziri ulikuwa unamjua wakat JK anagombea? Magamba mkubwa wewe.
Huyu mzee hawezi nchi. Yaani anashindwa kuelewa kwamba uongozi unaanzia kwenye familia? Nachofahamu mimi ukiwa na familia yenye umoja na upendo wa dhati inachangia kwa kiasi kikubwa sana kwenye ufanisi. Sasa nambia kama mama is not part of struggles ataweza kuwa supportive kwa mzee katika...
Kwa sababu rais anaenda tekeleza
Ilani ya chama.... Ila kwa mfumo wa magamba rais ndo kila kitu ndo mana mawazo yenu magando.....bado mnaishi kwenye zidumu fikra za mkiti za chama...stupid gambas...tulieni dawa iingie....
Hakuna shida mzee....wanafiki watayakuza ila hayamuingii mtu maskioni.... Mbona JK ametoa nafas nyeti kwa waislam kuliko rais yoyote yule....unajua kama kuna movement ya Islamization of TZ...wachen uzuzu na unachoskia ......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.