Serikali ya Awamu ya 5 inajitahidi sana kufanya miradi mikubwa ya kimkakati ndani ya muda mfupi kwa gharama kubwa.
Miradi hii inatosha sana kuiuza Serikali na CCM kwa wananchi kama wawakilishi wake wangekuwa wanamsaidia vizuri Rais kuitangaza na kuifafanua kwa wananchi
Miongoni mwa miradi...
Nahitaji fundi wanaojua kazi ya rangi, tiles, timber finishing, lightings na ambaye anaweza au alishafanya kazi ya kufitisha haya mabafu ya kisasa.
Naomba uje DM tuongee.
[emoji1313] Mfano wa kinachotakiwa
Nahitaji mafundi wanaojua kazi hizo hapo juu kwenye interior na ambaye anaweza au alishafanya kazi ya kufitisha haya mabafu ya kisasa. Nitaitaji pia anaeweza kufanya timber finishing
Naomba uje DM na bei zako kabisa
Ni bathroom/washroom. Na eneo ni Boko.
DStv HD decoder na Dish Lake pamoja na cables na remote yake inauzwa sharp. Bei 70,000. Maelewano kwa alie serious.
Whatssap 0785022177
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka naomba nipelekee order kama ya Mara ya mwisho pale Sinza kumekucha, pakiti mbili, nimekutumia DM namba ya mfanyakazi atakupokea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hilo swala la kukosea mtoto si tulilimaliza juzi juzi na yule dada alieleta hayo maharage? Mtoto alikosea ila order yangu ya leo jioni niletee sio mtoto kakosea. Hapa hapa Kawe mlipoleta juzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujenzi wa nyumba yako unaweza kuwa wa kisasa kwa kutumia Fundi wako mwenyewe huku akipata USHAURI WA KITAALAMU kutoka kwa MR NYUMBA. benefits za mr Nyumba Ni nyingi kwa nyumba yako, Fundi na kwako mwenyewe. Mpigie Sasa ujachelewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.