Recent content by MikeMwani

  1. MikeMwani

    JamiiForums Tanzania Nini chakusomaa baada ya kumaliza bachelor of law tofauti na law school

    Yeah nimepost what it was in my mind kawaida me ni binafamu na Sio malaika hivyo kukosea nipart of my learning ila dhumuni langu ni ujumbe na Sio maandishi niliondika kama msomi utaelewa na utaweza kunishauri kama mjinga utaendeleza ujinga wako wakukosoa maandishi na si ujumbe. Asante jf members
  2. MikeMwani

    JamiiForums Tanzania Nini chakusomaa baada ya kumaliza bachelor of law tofauti na law school

    sasa English course na kiswahili kinahusiana Vipi hapo ama umekosa charisma?..
  3. MikeMwani

    JamiiForums Tanzania Nini chakusomaa baada ya kumaliza bachelor of law tofauti na law school

    At least napata kujifunza kiswahili Pitia JF thank you for the advice
  4. MikeMwani

    JamiiForums Tanzania Nini chakusomaa baada ya kumaliza bachelor of law tofauti na law school

    pole ni mgeni kidogo wa lugha ya kiswahili@ fisi, jf senior
  5. MikeMwani

    JamiiForums Tanzania Nini chakusomaa baada ya kumaliza bachelor of law tofauti na law school

    Habari wana JF me ni mwanafunzi wa shelia mwaka wa mwisho Iringa ningependa kuongeza taharuma zaidi ninapo hitimu degree yangu lakini katika fani tofauti ambayo nitaweza kuattach na field yangu ya shelia bila kupitia law school hivyo naomba ushauli wenu nini naweza kusoma kama post graduate...
  6. MikeMwani

    JamiiForums Tanzania msaada! Sumsung yangu inadai SIM password ukiweka line yeyote!

    Nimeipenda Hii kitu
Back
Top Bottom