Yan kuna watu wanaboa tumekosa maji miezi miwili sasa bora tulikua tunayapata kwa mgao lakini mnyika yupo kimya hivi magonjwa ya matumbo na kuhara yataisha tz hii. Ww mnyika maji tuliyokuwa tunayapata mara mbili kwa wiki leo yapo?upo busy na UKAWA umesahau wananchi wako wa kimara,mbezi maji hakuna.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.