Recent content by MikeGolles

  1. M

    Rushwa nje nje zoezi la ukataji leseni Mwanza

    Mkuu upo sahihi, sio wrong parking tu hawa jamaa wanatoza ushuru wa parking wanatakiwa walipe kodi kwenye faida wanazopata , mfano ukichukulia hapa Arusha gari ya biashara inachargiwa 1000 kwa siku na gari dogo ni 200 kwa saa labda tuseme kwa hao wa ofisini ambapo wanabaki ofisini ni karibu 2000...
  2. M

    Picha zinatisha: Yanayotokea Kiteto yanadhihirisha Tanzania haina Serikali

    Lakini pia jamii ya kimasai hawabaguliwi na jamii zingine ila wao ndio wanaji discriminate na jamii zingine. Kwa mfano utasikia Kijana wa kimaasai akidharau jamii nyingine " utanieleza nini mimi sio layoni nimetahiriwa bila ganzi" sasa hapo shida inaanza. Sina shida about superior military...
  3. M

    Picha zinatisha: Yanayotokea Kiteto yanadhihirisha Tanzania haina Serikali

    Kaka kama nilivyokuorodheshea angalia upendeleo wa kielimu jamii ya kimasai inaoupata anyway utasema ni mazingira yao lakini pia majuzi Kikwete amewagawia wamasai ng'ombe kwa kisingizio walipoteza mifugo mingi wakati wa ukame lakini si wamasai pekee waliopoteza mifugo hata wambulu mifugo yao ilikufa
  4. M

    Picha zinatisha: Yanayotokea Kiteto yanadhihirisha Tanzania haina Serikali

    Kaka kwa kiasi kikukubwa shughuli zangu nafanyia masaini nafikiri Masai wanahitaji kubadilisha mtazamo kwenye kila kitu sisemi kwa sababu ya hili linalotokea kiteto maana huko sijaenda. Majuzi nilikuwa maeneo ya Kitumbeine Noondoto na Lang'ata dapash jamii ya kimasai inahitaji kubadilisha...
  5. M

    Picha zinatisha: Yanayotokea Kiteto yanadhihirisha Tanzania haina Serikali

    Haikuwahi Kuwa mkoa wa Dodoma sikumbuki vizuri lakini baada ya Uhuru ilijulikana kama wilaya ya maasai na ilikuwa ndio kubwa maana ilianza Longido loliondo mpaka kiteto sina uhakika sana lakini Nina imani kuna atakayekuwa anaufahamu zaidi
  6. M

    Picha zinatisha: Yanayotokea Kiteto yanadhihirisha Tanzania haina Serikali

    Actually Kiteto haikuwahi kuwa mkoa wa Dodoma . Ilikuwa mkoa wa Arusha na ilikuwa na wilaya 9 na kipindi cha Ben Mkapa mkoa wa Arusha uligawanywa na kupatikana mkoa mpya wa Manyara
  7. M

    Miraj Kikwete: Mimi na dada yangu Salama hatumiliki Kampuni ya Simba trust

    Mh F . Sumaye alituhumiwa na wanamtandao ambao lengo lao kubwa ni kumweka J.Kikwete madarakani. Sasa hao ni pamoja na familia ya ya JK
  8. M

    Al Jazeera: Meno ya tembo yalisafirishwa ndani ya ndege ya Rais wa China! nchini Tanzania

    Jitambue Hata budget ya kuwahifadhi hao tembo inatoka ughaibuni. Wewe hata historia ya uhifadhi hujui lakini unabwabwaja hapa Hizo national park almost zote zimeanzishwa na hao wazungu kwa kiasi kikubwa wazungu wamewalindia rasilimali zenu mpaka baada ya Uhuru walopowakabidhi ndio...
  9. M

    Jaji Warioba anaishi kwa mlo wa CCM kwanini anaishambulia Serikali

    Ni kweli mkuu tutafika tu ila tutakuwa tumechoka sana
  10. M

    Kwa Ishara hizi jana Triple A, kweli CHADEMA ni kama dini kwa wana Arusha

    Mwenye triple A ni kada mwaminifu wa CCM sasa kama hawataki si afunge club yake na wavuta bange wapite hivi. Mgodi hautoi mawe
  11. M

    Love doesn't exist

    All you need is true love sasa unataka nani akugharamie na pesa haina nafasi Binafsi naamini dawa ya mapenzi ni pesa cha ajabu unakuwa unademu unamfanya vizuri ajabu bado atakuambia umtoe ana shida na hela hapo sasa. Bora umlipe apite zake kule . Mlipe utakavyoona inafaa 50, laki na...
  12. M

    Tumuangushe Godbless Lema 2015

    Niambie kwa Arusha ni yupi aliyedeliver successful kati ya hawa wote waliotangulia Saibulu' Kinana' Mrema na sasa Lema
  13. M

    Maswali 7 Ya Godbless Lema Kwa Polisi-Mauaji ya Mtuhumiwa wa Mabomu Arusha

    Hamna kitu hapo ni usanii mtupu hauitaji elimu ya degree kuuona ukweli salsa hata kama unataka kuwahadaa catholic sio rahisi namna Hui. Kuna mahali nilishasema dead one never speaks sasa kama unaua mtu ili kuwasave wengine won't be for long but it's the matter of time soon the truth will come out
  14. M

    Maswali 7 Ya Godbless Lema Kwa Polisi-Mauaji ya Mtuhumiwa wa Mabomu Arusha

    Sasa itakusaidiaje maana tuna PhDs holder's na graduates millions ambao hawatusadii wamejificha nyuma ya keyboard na IDs fake ili wapate mlo kwa kupost upuuzi bora hata usingekuwa na elimu kabisa tungeelewa ulikosa fursa
  15. M

    Maswali 7 Ya Godbless Lema Kwa Polisi-Mauaji ya Mtuhumiwa wa Mabomu Arusha

    [Shida ni hizo cinema za kihindi ndio maana inakuwa shida kuwaamini QUOTE=Hot Lady;10951127]Hivi huyu Lema ana akili timamu kweli? Eti jambazi kafaje akiwa mikononi mwa polisi? Gaidi ni mtu hatari sana. Nashauri magaidi wote waning'inizwe huko huko. Hakuna haja ya kuwapeleka mahakamani
Back
Top Bottom