Mkuu habari ya kupanda Lift kwangu ilikuwa shida sana...... Kuna siku ikawa sina ujanja maana nilikuwa naenda ofisi fulani ambayo ipo ghorofa ya 10, hapo ikanipasa nimuombe mlinzi wa ofisini kwetu anisindikize bila kumwambia kuwa naogopa kupanda lift. Tangu siku hiyo mpaka leo uoga umeniisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.