Recent content by mij

  1. mij

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hiyo code ni ya Nigeria. Hivyo toa TZ weka Nigeria code itakubali
  2. mij

    Ifahamu Mahenge (Ulanga, Morogoro) na siri zake

    Masahihisho: Ni Wilaya ya Ulanga na siyo Mahenge.
  3. mij

    Siku niliyokutana na jini kwenye daladala

    🤣🤣🤣🤣
  4. mij

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Kwani MD ana nini mpaka asiliwe kimasihara?...Kwani yeye siyo mwanamke?
  5. mij

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nime-edit kidogo 9EF5527
  6. mij

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mwenye 1M ampe Man Utd ale mpunga mnene. Leo anashinda
  7. mij

    Tatizo la maumbile ya kiume madogo sana linanitesa sana

    Hata mimi nashangaa... Kwanza wataalam wanasema ni vigumu sana kuijua G spot hivyo kisimi chatosha sana kumkojoza mwanamke
  8. mij

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Hahahaha, halafu akajiita yeye ni LECTURE
  9. mij

    Mbowe: CHADEMA hatutashiriki uchaguzi mkuu wa mwaka 2025

    Umenena ukweli mtupu
  10. mij

    Naombeni tiba ya kisaikolojia: Mwenzenu nikipanda ndege huwa nawaza hatari tupu

    Mkuu habari ya kupanda Lift kwangu ilikuwa shida sana...... Kuna siku ikawa sina ujanja maana nilikuwa naenda ofisi fulani ambayo ipo ghorofa ya 10, hapo ikanipasa nimuombe mlinzi wa ofisini kwetu anisindikize bila kumwambia kuwa naogopa kupanda lift. Tangu siku hiyo mpaka leo uoga umeniisha...
  11. mij

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    https://meridianbet.co.tz/
Back
Top Bottom