Recent content by Mihayo DP

  1. Mihayo DP

    Namtamani nikiwa na hamu naye lakini baada ya hapo namchukia

    Time heals everything Ego has killed so many talents Am out!!
  2. Mihayo DP

    Wakuu mwenye uelewa na hii fursa nasikia mwisho Feb 28 mwezi huu watu wanakuwa matrilionea

    Unahitaji kujielimisha kuhusu centralized na decentralized finance mkuu..Cryptocurrency sio scam na una mine bure ikiwa listed watu wanatoboa hapo jaman btc,Bnb na etc
  3. Mihayo DP

    Chalamila kaongea uhalisia wa mambo ulivyo ila kwa lugha yenye ukakasi, hapaswi kuadhibiwa

    Kuna uzi nimesema jamaa yuko correct hospitalini huko ni changamoto lakini emotional people wamekuja spidi kuni attack...
  4. Mihayo DP

    Uteuzi wa Albert Chalamila upitiwe upya, ufafanuzi wake hauna mantiki

    Brouh Really sorry if it’s what triggered your anger and I didn’t mean to offend you,in your two previous comments you have been insulting me consistently with the same word’mpumbavu’ I don’t think if that’s how literate individuals should drag out the conclusions in their matter trying to...
  5. Mihayo DP

    Uteuzi wa Albert Chalamila upitiwe upya, ufafanuzi wake hauna mantiki

    Sasa kwa sababu umeishiwa hoja unaanza kuita watu wapumbavu..Mpumbavu mwenyewe Am out I will never respond!
  6. Mihayo DP

    Trump asitisha misaada ya ARV na dawa za Malaria kwa muda

    Umaskini wa kifikra unaitafuna afrika tunapeleka bajeti kwenye mambo ya kipumbavu sana yani hatuwezi kusimama na hatujawahi kufikiria kujitegemea kwenye mambo muhimu kama haya..Acha Tujifunze in a hard way ili upumbavu upungue afrika
  7. Mihayo DP

    Trump asitisha misaada ya ARV na dawa za Malaria kwa muda

    Emotional people watakuja kukushambulia hapa kaka huo ni ukweli mgumu
  8. Mihayo DP

    Uteuzi wa Albert Chalamila upitiwe upya, ufafanuzi wake hauna mantiki

    Ndiyo sasa wajue mapungufu ya serikali yao you should not be emotional huko hospitali hakuna vifaa Tiba asipoambiwa kununua ili afe zije lawama za maternal deaths sio..doctors are doing what is best for their patients alaf wao wanaona wanaonewa ama madaktari wanataka kuwapiga??Come back to your...
  9. Mihayo DP

    Uteuzi wa Albert Chalamila upitiwe upya, ufafanuzi wake hauna mantiki

    Stop being emotional have controll on how you react to things..Unajua mimi niko kwenye professional ipi am not just explaining things out of no where walk to health centres and dispensaries and watch how big is the scarcity of the medical equipments..watu wanawazalisha watu mikono tupu huko...
  10. Mihayo DP

    Uteuzi wa Albert Chalamila upitiwe upya, ufafanuzi wake hauna mantiki

    Watanzania Tuko soft na emotional sana...Tumezoea kubembelezwa hatupendi ukweli mchungu...
Back
Top Bottom