yaani mwanaume mzima mwenye afya tele unaacha kufanya kazi unabaki na kazi ya umbea kwenye mitandao tena umbea usio na faida kwako ndiyo matokeo yake hayo mshahara wa zambi ni mauti anavuna alichokipanda akitoka hapo akaendelee na udaku wake kwenue mitandao
mchuma janga hula na wa kwao lakini huyu anakula janga peke yake kwa ujinga aliokuwa anafanya kwani nani alimshawishi afanye hivyo wenzie wana kula asali na kuchangia gari la lissu Erythrocyte
uzi mreeeefu hakuna cha maana msigwa kachagua chama bora kaachana na chama saccos ya mbowe chadema hakuna chama pale kuna mjungu tu na kusalitiana hakuna siku chadema watakuja kushika dola asilani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.