Recent content by Miguel255

  1. Miguel255

    Ulianzaje kukaa gheto?

    2021 hio Nilibeti nikapiga mshindo wa 520k. Nikatafuta chumba cha 50k nikalipa miezi 4, godoro nikachukua home, nikanunua shuka, pazia, feni, pasi, ndoo ndogo moja, ufagio, kopo la kuogea, na jagi la kuchemshia chai. No sabufa, no kitanda, no TV, kuna time maisha yalikuwa magumu hadi...
  2. Miguel255

    Mimi na Wapangaji Wenzangu

    SEHEMU YA TANO Nilikuta Stella kapika wali wa maua mau na rosti ya kuku. Kiukweli msosi sio kitu kilichonipeleka ndani kwake, nilikotoka nilishakula nilichofata mule ndani ni kula vitu vyengine kabisa. Nikajiambia huyu Stell leo lazima alike labda anifukuze humu ndani. Kumbe niliyokuwa...
  3. Miguel255

    Mimi na Wapangaji Wenzangu

    ILIPOISHIA... Kiunyonge nikakubaliana na yeye hivyo nikaendelea kuangalia TV mpaka pale nilipochoka na kuamua kuondoka kwenda chumbani kwangu. Ile natoka tu mule ndani uso kwa uso nikakutana na stella. SASA ENDELEA.. Stella ni mtoto wa mwenye nyumba, sijui ni mtoto wa ngapi kuzaliwa kwao ila...
  4. Miguel255

    Kama wewe ni mpiga nyeto hii inakuhusu

    Juzi nimetimiza miezi mitatu bila kupiga punyeto. Kazi iendelee
  5. Miguel255

    Siri iliyojificha nyuma ya logo ya "kappa"

    Tazama kwa umakini hio picha hapo juu Bila shaka umewahi kukutana na logo hii kwenye nguo, kofia na hata mabegi. Hii kampuni inaitwa "Kappa", ni kampuni ya mavazi iliyoanzishwa 1967 huko nchini Italia. Kama nilivyosema hapo juu, kampuni hii inajihusisha na swala zima la mavazi; kuanzia track...
  6. Miguel255

    Mimi na Wapangaji Wenzangu

    SEHEMU YA 3. Mwanaume nikazama ndani na kumkuta Amina ametoka kuoga kwani alivalia khanga nyepesi lakini pia mwili wake ulikuwa na maji maji. Maji maji hayo yalifanya khanga kugandiana mwilini hivyo maungo yake kuonekana kiuwepesi zaidi. Kiukweli Amina ni mzuri, ni mdada fulani hivi mweusi...
  7. Miguel255

    Mimi na Wapangaji Wenzangu

    SEHEMU YA 2 Nikaingia ndani na kumkuta Amina kajilaza kihasara kitandani kwake. Kiukweli alikuwa na chumba kizuri, kila kitu cha muhimu alikuwa nacho tofauti na mimi niliekuwa na godoro, ndoo ya kuogea na pasi. Amina alikuwa ana kila kitu cha kumfanya aishi comfortable. Nikamsalimia akaniambia...
  8. Miguel255

    Mimi na Wapangaji Wenzangu

    Kwa majina naitwa Emma (Sio jina langu halisi), nina miaka 30 sasa nina mke na mtoto mmoja - Maria (sio jina halisi pia). Nampenda sana binti yangu, yeye pamoja na mke wangu ndio sababu ya mimi kupambana kiasi hichi. Wakishiba, wakivaa vizuri mimi ndo furaha yangu. Nafanya hivi kwasababu sitaki...
  9. Miguel255

    Kama wewe ni mpiga nyeto hii inakuhusu

    Asante kiongozi kwa kunifahamisha hili
  10. Miguel255

    Kama wewe ni mpiga nyeto hii inakuhusu

    Hili sikuwa nalijua hapo kabla
  11. Miguel255

    Kama wewe ni mpiga nyeto hii inakuhusu

    Hahaha😂😂 sawa
  12. Miguel255

    Kama wewe ni mpiga nyeto hii inakuhusu

    Unajua nyie mnaotetea hili jambo siwashangai hata kidogo. Na ni ngumu kwenu kuacha kwasababu kwanza mmeikubali na hamuoni kama ina madhara kwenu. Uraibu wowote ule uwa hivyo hivyo. Mtu aliyeathirika na uraibu ili aache lazima kwanza akubali yeye mwenyewe kwa akili yake bila kulazimishwa kwamba...
  13. Miguel255

    Kama wewe ni mpiga nyeto hii inakuhusu

    Pengine hujanielewa labda. Kama umesoma vizuri andiko langu kuna sehemu nimeandika hakuna starehe mbaya kama starehe ya bei rahisi. Nyeto na kut*mba zote zinamaliza nguvu, nakubaliana na wewe 100%. Simple math unaweza kudinya mara mbili - tatu kila siku mwezi mzima? Kama jibu ni YES basi...
  14. Miguel255

    Kama wewe ni mpiga nyeto hii inakuhusu

    Yah ni kweli, naamini hio hali itanijia na nimejipanga kukabiliana nayo. Addiction kuacha ni ngumu sana si jambo lepesi. Naamini yote hayo nitakabiliana nayo na nitayashinda, hakuna lisiloshindikana chini ya jua endapo ukimshirikisha Mungu. Hii safari ya kuacha nimeianza tangu 2020. Ilikuwa...
  15. Miguel255

    Kama wewe ni mpiga nyeto hii inakuhusu

    Kama Adam alipiga nyeto kama unavyodai kwanini Sir God alimpa eva? Kama nyeto haina madhara kama unavyodai kwanini Mungu ampe eva? Kwanini asimuache tu aendelee kula nyeto na binadamu tungetafutiwa namna nyengine ya kuongezeka kama ilivyo mimea au amoeba? Nyeto ina madhara kubali ukatae...
Back
Top Bottom