Recent content by Miguel wa II

  1. Miguel wa II

    JamiiForums Tanzania Tupeane mbinu za kupata mitaji pindi biashara zinapopitia changamoto

    Kama unafanya biashara na field yako hiyo hakikisaha una create your own Bank. How 1. Hakikisha unapokuwa unazungusha biashara yako katika profit unayoipata tenga 10-20% ya profit kama akiba always. 2. Akiba hii iwekeze katika mahali salama lakini panapoweza kukupatia walau 10-15% yearly kama...
  2. Miguel wa II

    JamiiForums Tanzania Mzazi wako Baba/mama amewahi kukuhusia jambo gani ukiwa mdogo na hujalisahau hadi ukubwani?

    Nakumbuka mwaka 2011 nlikuwa nimemaliza kidato cha tano, nikampigia simu mama yangu akanipongeza, aliniuliza nikuandalie chakula gani siku ukija? Nikamjibu wali maharage (mama alisikitika sana) Wakati nimefika nyumbani alinigombeza akaniambia "wewe shida yako hupendi kula vizuri, siku ukioa mke...
  3. Miguel wa II

    JamiiForums Tanzania TANROADS yatengeneza Daraja la Muda Kinyerezi, Pikipiki, Bajaji na Watembea kwa Miguu waruhusiwa kupita

    You expect more from your government inayokupelekea kuwa na negativity syndrome, umejawa na hasira unajichukia wewe mwenyewe, unaichukia Serikali yako, Taifa lako hadi Bara lako la Africa, Pole
  4. Miguel wa II

    JamiiForums Tanzania TANROADS yatengeneza Daraja la Muda Kinyerezi, Pikipiki, Bajaji na Watembea kwa Miguu waruhusiwa kupita

    Tunamshukuru Mungu kwaajili ya Serikali sikivu
  5. Miguel wa II

    JamiiForums Tanzania Tangu nifanikiwe kupata kipato cha ndoto zangu nimekua bahili hadi najiogopa

    My intek 1. Asilimia 90% ya watu tuliopitia uchumi duni au familia duni njia moja wapo ya kupata mafanikio nipamoja na kuwa na tabia inayoitwa Frugal (soma kitabu kinaitwa the millionare next door utanielewa) Sifa ya Frugal person nipamoja na ubahiri, kuacha tabia ya shopaholic (kununua vitu...
  6. Miguel wa II

    JamiiForums Tanzania Tujadili Kuhusu Utapeli Mtandaoni – Je, Tunajilindaje?

    Always market will attract those who want to make rich quickly and rewards only who want to make rich patiently. Unapotaka uharaka wa mafanikio lazima uwe chambo na udunguliwe kirahisi. Pia watu waache kuhesabu faida kabla ya deal kukamilika inawafanya wawe na haraka ya kuingia bila kutafakari.
  7. Miguel wa II

    JamiiForums Tanzania Madalali ndio chanzo cha mifumuko ya bei kila sekta hususani nyumba za kupanga

    Siku hizi chumba kimoja kinaweza tembelewa na madalai 10+ mteja mmoja. Niwengi kama njugu
  8. Miguel wa II

    JamiiForums Tanzania Wanaume leo naomba niwape maua yenu

    Nimepokea maua haya kwa furaha na tabasamu, God Bless you. 🙌 imenifurahisha na kadri nifurahivyo nafsini mwangu nawe furaha hii ikakurudie ndugu mwandishi 😊 🙏 Short story Nina mdogo wangu mmoja wa kike nlikuwa namsomesha shule O level mkoani, basi nikawa na tuma ada maana yupo private school...
  9. Miguel wa II

    JamiiForums Tanzania Jeshi la polisi latolea ufafanuzi tukio la bodaboda kusemekana kutekwa, wasema ni mhalifu aliyekuwa anatafutwa muda mrefu na polisi

    Ni rahisi kwa mpumbavu kukurupuka na kulaumu jeshi la polisi kwa kuwa uhalifu huu haujamgusa yeye binafsi au familia, lakini mwenye hekima angeweza pengine kulishukuru jeshi la Polisi kwa majukumu wanayoyafanya kupamabana na uhalifu nchini.
  10. Miguel wa II

    JamiiForums Tanzania Unatumia mbinu gani kudhibiti staff wako wasikuibie?

    Pananjia kadhaa za kumanaje wizi katika biashara 1. Science na Tekinolojia Tumia vifaa vya kisasa kama hizo cctv camera kama biasgara n ndogo nowdays kuna taa ambazo n camera recorder na unaweza fuatilia. Pia hizo software zenye kutrack every thing input and outputs, sells nk 2. Imani Tumia...
  11. Miguel wa II

    JamiiForums Tanzania Ukiwa na miaka 35 na ukaamua kuanza moja kabisa, unatakiwa ujipe muda gani kutoboa au approximation ya kutoboa ipoje?

    📌 this post from Unju au screenshot kabisa, utanikumbuka, 🫡 Unju Ibn Unuq
  12. Miguel wa II

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuteswa na marejesho ya mkopo tukutane hapa

    Mwaka 2021 alikuja dada mmoja Afisa mikopo Ofisni kwangu kutokea microfinance moja ambayo kwa sasa inajitanua kuwa benki. Akaweka ngonjera zake na kuniachia kipeperushi cha mikopo, nilikisoma lakini sikuona kipengele cha Kukupua mkopo, nikamuuliza endapo nimekopa pesa na nikahitaji kuirudisha...
  13. Miguel wa II

    JamiiForums Tanzania Treni ya SGR kutoka Dar kwenda Dodoma yadaiwa kukwama tena baada ya Umeme kukatika Stesheni ya Kilosa

    Kaka tusiwalaumu hao wenye nafasi kwa sasa, najua kukosoa ni kazi rahisi sana lakini ngumu nikuwa katika hiyo nafasi. Hii kitu ilinisumbua sana zamani kwanini watu hawawi wakweli kwa kila kitu hadi mwaka 2021 niliposoma kitabu cha Dale Carnegie kinachoitwa "how to win friends and influence...
  14. Miguel wa II

    JamiiForums Tanzania TRC: Treni za SGR zilisimama maeneo matatu tofauti kutokana na hitilafu ya umeme katika Gridi ya Taifa

    Sijakuona kwenye mazishi ya Ndugulile kaka
  15. Miguel wa II

    JamiiForums Tanzania Treni ya SGR kutoka Dar kwenda Dodoma yadaiwa kukwama tena baada ya Umeme kukatika Stesheni ya Kilosa

    Kaka hizi zote ni hatua tuko ya kwanza tunaelekea ya pili tutafika ya tatu. Bora kitu kuliko kukosa kitu, sisi tuishi na tutoe mawazo yetu sehemu husika ipo siku tutakuwa kama wale, tujipe muda kwani ni mwalimu sahihi. Kwangu ni mafanikio kwani tumetoka 0 tupo 1, hope tutafika 3.
Back
Top Bottom