Recent content by Mightyarmy

  1. M

    Wosia wangu kwa wasiokuwa Waislam

    Na mimi ninawaandikia kwa upendo mkuu ndugu zangu waislamu ninaowapenda sana ukweli ni kuwa pasipo kumwamini Yesu Kristo na kumpokea moyoni mwako ili aweze kukusamehe dhambi zako hakuna atakayetoboa kuingia Mbinguni. Hata ukijiita mkiristo kama ujampokea Yesu Kristo hata wewe mwenzangu huwezi...
  2. M

    Ushauri wenu Wakuu, Wahadhiri wanaoomba rushwa ya ngono wamemfikia mtoto wangu

    Hii ni mbaya kweli. Kuna lecture mmoja alikuwa anafanya mambo hayo na mtoto akaamua kujinyonga. Sasa kilichotokea watoto wake wote walikuwa walichanganyikiwa. Hakakutana na nabii na kumwambia aliyotenda ndiyo yamesababisha laana kwa watoto wake. But it was too late. Mabaya tunayotenda kumbuka...
  3. M

    Kuishi na watu kazi; Alikuja kusaka life ila soon namtimua

    Ninafikiri ana tatizo la akili. Mtu mwenye akili timamu hawezi kufanya hivyo.
  4. M

    CAG: Viwanja vya Tsh. Bilioni 4.09 Manispaa ya Kibaha viliuzwa nje ya Mfumo, Tsh. Milioni 481 ililipwa kwa Watu binafsi wasio watumishi

    Kama hii ni kweli kuna haja ya kuanzisha somo la uzalendo kuanzia Primary school labda watoto wetu watabadilika maana ninaona kwamba wengi wetu tumeoza kwa wizi wa mali ya umma. Huu upigaji siyo wa kawaida. Basi kuweni hata na hofu ya Mungu. Ni aibu kama wewe ni mkiristo au muislamu unayejua...
  5. M

    Waziri Mkuu, Wasaidie hii familia kwenye shauri la mirathi wasije kukatana mapanga

    Tuangalie sana jinsi tunapozipata hizi mali. Kumbuka ukipata mali kwa njia ya uovu utaacha mali yenye laana kwa watoto wako na mwisho ni kuuana wao kwao na hizo mali hazitawasaidia. Tujitahidi tupate mali nzetu kwa njia ya halali.
  6. M

    Bora kuwa single!

    Hayo ni maisha yako uliyoamua kuishi lakini huko mbeleni usije ukasumbua ndugu kukulea. Utakapofika 60 utaelewa maana ya kuwa na familia.
  7. M

    Kama viongozi hawana maadili unategemeaje vijana wawe na maadili?

    Ahsante kwa points nzuri. Anyway, Wahenga walisema dunia ni tambara mbovu hasa huku Afrika. Maadili yametoweka sana. Unawezaje kumwambia wa chini yako hasifanye yale unayofanya wewe. lazima ataiga kwako tu.
  8. M

    Hivi Kuna ushahidi wowote Yesu alikuja duniani or it's just a conspiracy theory ya watunga stori?

    Ndiyo ni story lakini siku utakapotuaga na kwenda njia ya wanadamu wote utakutana na aliyekuumba. Unfortunately it will be too late for you. Facts si angalia juu nani aliyeziumba hizi mbingu.
  9. M

    Inasikitisha Jinsi Njaa na Tamaa Zinavyochafua Taifa: "Recharging Hope" Wameanika Mizengwe ya Rushwa waliyoikuta Tanzania

    Kupita na gari kama umetokea south nchi ambazo niliona raha kwenye mipaka yao Botswana, Namibia na Zimbabwe unapita vizuri bila usumbufu na unachukua mda mchache. Sasa kuingia Zambia na Tanzania kuna usumbufu mkubwa sana wa kuombwa rushwa na kodi za ajabu ajabu. Hapo ikawa mwisho wangu na ni...
  10. M

    Hivi Kuna ushahidi wowote Yesu alikuja duniani or it's just a conspiracy theory ya watunga stori?

    Ndugu yangu Mungu akusamehe maana hujui ulisemalo. God is real and is the creator and the owner of the Universe. Believe it or not.
  11. M

    Hivi Kuna ushahidi wowote Yesu alikuja duniani or it's just a conspiracy theory ya watunga stori?

    Kama huwezi kuamini haya niliyosema hata nikitoa ushuhuda huwezi kuamini pia. Siwezi kukulaumu maana haya ni mambo ya imani zaidi. Sikumwona Yesu kwa macho yangu lakini niliamua kumwamini kupitia maandiko ya Biblia na nikamwona dhairi katika maisha yangu na hakuna wa kuweza kunigeuza nimwache...
  12. M

    Ada mpya za Bandari zimeanza kutumika tangu Machi 8, 2026. Ni mwendo wa kukamuliwa mpaka tujute!

    Tumenyimwa misaada na lazima miradi ya maendeleo iendelee. Cha kusikitisha end of the day wananchi wa hali ya chini ndio wanaumia.
  13. M

    Ushauri kwa Serikali kupitia TANROAD, ni afadhali kutokujenga barabara za lami zenye kiwango cha chini mpaka pale budget kubwa itakapopatikana

    Ninafikiri kutokuwepo usimamizi mzuri na pia rushwa ni sababu kubwa. Niliwahi kusimamia barabara kwenye kitengo cha kuangalia viwango niliyoyaona basi tu. Bila kuwa mzalendo wa kweli na kuamua kuishi maisha ya kuridhika ni ngumu sana kukwepa vishawishi vya rushwa. Kutokuwepo uzalendo ni shida...
  14. M

    Hivi Kuna ushahidi wowote Yesu alikuja duniani or it's just a conspiracy theory ya watunga stori?

    Mkuu Yesu alikuja duniani. Hii ni kweli na wala hakuna wa kupinga. Hata kama uamini ndivyo ilivyo na itaendelea kuwa hivyo. Hayo tumeyaona na tumeshuhudia tulipoamini. Wewe pia ukimwamini hatakufanyia mambo ambayo utashangaa na utashuhudia na wengine. Nilimwamini nikiwa na miaka 18 na sasa nina...
Back
Top Bottom