Nimegundua wengi sana tunaendeshwa na ushabiki, narudia tena serikali hii inamengi ya kulaumiwa lakini sisi tunaolaumu je tukoje? kulaumu peke yake haitatusaidia tunatakiwa tuamke. Sijamsikia kiongozi yeyote ukiacha mzee Mkapa ambae alisema wazi kuwa watz wengi ni wavivu wa kufikiri, mimi...
Sasa ni kweli kabisa serikali ina upande wake wa lawama, hili la madawati kweli ni serikali nayo ndio ilete jamani? Kamati za shule zina kazi gani? bodi ya shule nayo? misitu yote hii, mi nasema watanzania tunahitaji kwanza ukombozi wa fikra zetu kabla ya ukombozi mwingine wowote ule, sisi ndio...
Mipango inayoandaliwa na watu au taasisi yoyote ile kufanya maandamano ya kumng'oa Kawambwa na naibu wake Mulugo ni haramu na dhaifu. Sekta ya elimu ni pana sana na ufaulu wa mwanafunzi hautegemei kitu kimoja. Waziri sio lazima awe mtaalamu wa wizara anayoiongoza,nafasi yake ni ya kisiasa,yeye...
Ni ushauri wa kawaida ambao kama mkuu wa nchi angeutoa hata kwa st.John, mengine ni tafsiri zenu tuu, halafu ni muhimu sana kuepuka mambo ya udini ni mabaya na chokochoko zinaanza hivihivi, kwani mtu hawezi kutoa maoni bila kutaja dini ya mwenzake?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.