Recent content by Midnights

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Shukran sana brother mwifw nimeelewa vyema.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Kaka habari. Kuna mtumishi mmoja ni Nurse aliniambia yeye alipata ajira kwa second round...nilikuwa napenda nikuulzie hili suala zima la second round lipoje...Je wanapotoa kwa mara ya kwanza je, kuna muda wanarudia kuita watu kwa mara nyingine ikiwa walioitwa hawakwenda kwa sababu mbalimbali...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Fundi Flat TV na vitu vyote vya umeme

    Alikuibia mkuu? Mbona kama unamharibia biashara
  4. M

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Naona wamesema umri iwe chini ya miaka 25 nishapoteza sifa
  5. M

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Naomba pdf mkuu
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ewe mwanaume, mkeo/mpenzi akikukimbia nyakati ngumu,fahamu ukweli.

    Hii ndio sababu inanisababisha kuhitaji partner na sio leech.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Women are trouble makers

    Umetumia mtazamo ambao ni mpana sana...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kwa kila unachomfanyia mtu ujue Mungu yupo

    Muache kushambulia wenzenu
  9. M

    JamiiForums Tanzania Ukiona unatumia pesa nyingi kuhonga ujue haupendwi

    Same path....
  10. M

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

    Huyu anatutia aibu wauguzi na wakunga. Sijui kasoma chuo gani
  11. M

    JamiiForums Tanzania TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

    Hakuna somo linaitwa midwiferly. Midwifery. Pia course ya uuguzi ilishaunganishwa na ukunga muda mrefu. Wewe ulisoma wapi midwifery pekee?
  12. M

    JamiiForums Tanzania Wanaume kuweni makini sana kuoa wanawake waliotoka Vyuoni

    Huyu mwanamama anastruggle sana kuangusha kingdom ya kiume. Akifanikiwa atapandisha jinsia ya kike pale juu
  13. M

    JamiiForums Tanzania Leo nimekumbuka namna mpenzi/ mama wa watoto wangu alipoanza kunishinda kipato baada ya kupata kazi kila kitu kikaparaganyika

    Seems we have the common stand. Unakutana na mwanamke unamwambia mimi bado sijafanikiwa, anakwambia fanikiwa kwanza. Nikishafanikiwa sijaoa, sitahitaji ndoa
Back
Top Bottom