Recent content by Microgynon

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kufariki kwa huyu Mtumishi Mwenzangu ambaye nilifanya naye kazi huku tukiwa na Ugomvi mpaka alinifanya kuhama

    Inawezekana hayajui maumivu ya kufiwa na kuwa familia za kinyakyusa huwa na ndugu wengi sana yaani wanyakyusa ni moja ya makabila yenye extended family ndefu sana ndio maana huwa anahisi wanapolia ni kama wanaigiza.
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Na huu uzi ni kama umeshafika tamati wakati bado kama umeishia njiani.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Vifo vilivyoniumiza JF

    when death is planned that is obvious murder whether it was done my someone him/herself or done by anyone else.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Vifo vilivyoniumiza JF

    Pole sana kwetu JF, BWANA alitoa naye ametwaa jina lake libarikiwe. Kuna ID kadhaa hapo kama nazikumbuka kwa mbali sana japo nilibadili ID yangu nazikumbuka. This reminds us that behind all these anononymous IDs there is real and valuable life. Ni matumaini yangu kuwa JF itaendelea kuwa jukwaa...
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baada ya mke wangu kununua kufuli, nimecheka sana

    mrrjesho uko wapi? 😃
  6. M

    JamiiForums Tanzania Wanaohusika na haki za wanyama ina maana punda wa huku kanda ya ziwa hamuwaoni hususani shinyanga na viunga vyake?

    Punda mnyama pekee mwenye msalaba mgongoni. Nimesikitika sana kusikiavwanavyofanyishwa kazi kikatili sana. Mungu aliumba wanyama tupate kutawala na kuwatunza sio kuwatesa.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Nina ulemavu wa kusikia. Nisome masomo gani kulingana na hali ya sasa?

    Sio tu kuolewa, bali aolewe na mtu sahihi. Akikosea wa kuolewa naye itamuongezea tu changamoto zisizo za msingi.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Nina ulemavu wa kusikia. Nisome masomo gani kulingana na hali ya sasa?

    Huo mstari wa mwisho kabisa "...Wewe kama Binti jijue ulivyo na utafanikiwa" yaani ndio kila kitu katika kumsaidia ajue aanzie wapi na afanyeje. The Best advice ✔️
  9. M

    JamiiForums Tanzania Wageni Milioni 27 Wamerundikana South Africa, Idadi Hii ni kubwa sana, Naunga mkono Watimuliwe

    Tunaomba utupatie na takwimu za foreign nationals walioko ndani ya Tanzania
  10. M

    JamiiForums Tanzania Leo nimemuona yule Mtoto

    Tufungulie code mkuu, bado sijaelewa.
  11. M

    JamiiForums Tanzania KERO Vyuo vya Private vya Diploma za Afya hawana uwezo ndo maana kila kukicha wanalalamikia kufeli mitihani ya leseni

    Ni kweli kabisa. Sema mambo kama haya ndio yanayozidi kuipa jeuri Pharmacy council kukazia miongozo. It's like kwao wanaona TCU imeshashindwa hiyo kazi ya kusimamia vigezo, na kwa chapisho lako hapa it only proves it more.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Je ni lazima kubadilisha jina baada ya kuokoka?

    Asante sana kwa Neno mtumishi. Barikiwa sana
  13. M

    JamiiForums Tanzania KERO St Mathews inamzuia mwanangu kuhitimu Form 6, wanadai ni mtoro wakati alikuwa anaumwa na nimeenda na vithibitisho

    Nilisoma hii shule both O level na A level. Enzi zile elimu hapo ilikuwa ya viwango, ila tokea waibadilishe kuwa ya muonekano wa kisasa imeshageuka kuwa biashara hakuna shule hapo. Labda wahitimu wa miaka ya hivi karibuni waje kukanusha hili.
Back
Top Bottom