Recent content by Microgynon

  1. M

    Wageni Milioni 27 Wamerundikana South Africa, Idadi Hii ni kubwa sana, Naunga mkono Watimuliwe

    Tunaomba utupatie na takwimu za foreign nationals walioko ndani ya Tanzania
  2. M

    Leo nimemuona yule Mtoto

    Tufungulie code mkuu, bado sijaelewa.
  3. M

    KERO Vyuo vya Private vya Diploma za Afya hawana uwezo ndo maana kila kukicha wanalalamikia kufeli mitihani ya leseni

    Ni kweli kabisa. Sema mambo kama haya ndio yanayozidi kuipa jeuri Pharmacy council kukazia miongozo. It's like kwao wanaona TCU imeshashindwa hiyo kazi ya kusimamia vigezo, na kwa chapisho lako hapa it only proves it more.
  4. M

    Je ni lazima kubadilisha jina baada ya kuokoka?

    Asante sana kwa Neno mtumishi. Barikiwa sana
  5. M

    KERO St Mathews inamzuia mwanangu kuhitimu Form 6, wanadai ni mtoro wakati alikuwa anaumwa na nimeenda na vithibitisho

    Nilisoma hii shule both O level na A level. Enzi zile elimu hapo ilikuwa ya viwango, ila tokea waibadilishe kuwa ya muonekano wa kisasa imeshageuka kuwa biashara hakuna shule hapo. Labda wahitimu wa miaka ya hivi karibuni waje kukanusha hili.
  6. M

    Hii ndio Tiba ya Ngiri/Hernia kupitia Dawa za kihindi

    Unamaanishaje Mkuu?, umeshawahi kuzitumia?
  7. M

    Hii ndio Tiba ya Ngiri/Hernia kupitia Dawa za kihindi

    Mkuu nimefurahi sana kuona sehemu ya hizi Tiba asili za Ayurveda. Naomba kuuliza je mnazo dawa za Ayurveda za kihindi zenye kutibu diabetes type 2 kwa kurekebisha chanzo husika cha diabtes na kuiponya kabisa?, tofauti na tiba za management ya diabetes zile za hospitalini zinazoManage level ya...
  8. M

    Madhara 4 ya kurejea kwenye moyo mgumu uliokuwa nao nyuma

    Asante kwa neno mtumishi. Barikiwa sana.
  9. M

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Pole Ndugu ila mbona sijaelewa vizuri hii ni kuhusiana na ile zawadi aliyoiahidi Insider mpaka ukapita kuwa upewe naye akasema kuwa atakutumia au?.
  10. M

    Namna shule za sasa zinavyoiua elimu yetu. Zimekaa kitapeli sana

    Kuchunga mifugo sio mateso ni njia nzuri pia kwa watoto kujifunza mambo mbalimbali ikiwemo na uongozi. mtoto akiweza kuchunga mifugo vizuri anajifunza mengi ikiwemo jinsi ya kuongoza kwa mfano badala ya kupenda kuwa mtu wa kutumia nguvu nyingi kwa kila jambo.
  11. M

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Mdau wako huyo dada, yuko makini kukufuatilia movement zako JF.
Back
Top Bottom