Inawezekana hayajui maumivu ya kufiwa na kuwa familia za kinyakyusa huwa na ndugu wengi sana yaani wanyakyusa ni moja ya makabila yenye extended family ndefu sana ndio maana huwa anahisi wanapolia ni kama wanaigiza.
Pole sana kwetu JF, BWANA alitoa naye ametwaa jina lake libarikiwe. Kuna ID kadhaa hapo kama nazikumbuka kwa mbali sana japo nilibadili ID yangu nazikumbuka. This reminds us that behind all these anononymous IDs there is real and valuable life. Ni matumaini yangu kuwa JF itaendelea kuwa jukwaa...
Punda mnyama pekee mwenye msalaba mgongoni. Nimesikitika sana kusikiavwanavyofanyishwa kazi kikatili sana. Mungu aliumba wanyama tupate kutawala na kuwatunza sio kuwatesa.
Huo mstari wa mwisho kabisa "...Wewe kama Binti jijue ulivyo na utafanikiwa" yaani ndio kila kitu katika kumsaidia ajue aanzie wapi na afanyeje. The Best advice ✔️
Ni kweli kabisa. Sema mambo kama haya ndio yanayozidi kuipa jeuri Pharmacy council kukazia miongozo. It's like kwao wanaona TCU imeshashindwa hiyo kazi ya kusimamia vigezo, na kwa chapisho lako hapa it only proves it more.
Nilisoma hii shule both O level na A level. Enzi zile elimu hapo ilikuwa ya viwango, ila tokea waibadilishe kuwa ya muonekano wa kisasa imeshageuka kuwa biashara hakuna shule hapo. Labda wahitimu wa miaka ya hivi karibuni waje kukanusha hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.