Inabidi huyo Mume asiwe wa hapo alipowahi kufanyia mambo yake ya zamani wala asiwe na ukariu nao watu wanaomjua historia yake, vinginevyo atasababishiwa maumivu zaidi na watu wasiopenda kuona akiwa amebadilika na maisha mapya. Kongole kwake kwa kuamua kubadilika.
Suala ni kwamba wao Zanzibar hawataki hiyo serikali moja kwasababu itawafanya kuwa kama mkoa ndani ya Tanzania, uliza vizuri hata wananchi wao wanakazia sana kuwa Zanzibar ni nchi na ni nadra sana wak kujitambulisha kama waTz hasa wakiwa nje ya nchi wakiulizwa utaifa wao wanajibu Zanzibar, hata...
Inawezekana hayajui maumivu ya kufiwa na kuwa familia za kinyakyusa huwa na ndugu wengi sana yaani wanyakyusa ni moja ya makabila yenye extended family ndefu sana ndio maana huwa anahisi wanapolia ni kama wanaigiza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.