Recent content by mickymasu

  1. mickymasu

    CHADEMA wajue: Kuna shule za Serikali, shule za kijamii na shule binafsi hivyo kauli ya Rais Magufuli ni sahihi

    Kumbuka enzi hizo wasomi waliokua wanafika elimu ya juu walikua ni wachache wenye kuweza kubebeka tofauti na hivi sasa wasomi wamekua ni wengi ndo maana serikali ikaweka mikakati ya kuweza kuwasaidia wasiokua na uwezo wa kugharamikia gharama za elimu ya juu ili na wao waweze kupata elimu
  2. mickymasu

    CHADEMA wajue: Kuna shule za Serikali, shule za kijamii na shule binafsi hivyo kauli ya Rais Magufuli ni sahihi

    Ukiuliza nini maana ya mkopo nitakwambia kila mkopo una masharti yake na mkopo wa alemu ya juu ulianzishwa kwa lengo hilo nilokwambia hapo juu hivyo sio kila mtu anapaswa apewe.
  3. mickymasu

    CHADEMA wajue: Kuna shule za Serikali, shule za kijamii na shule binafsi hivyo kauli ya Rais Magufuli ni sahihi

    Hata ww pia hujui ulisemalo ungelijua lengo la kuanzishwa bodi ya mikopo wala usingemuona mwandishi amekurupuka. Maana bodi ya mkopo ilianzishwa kwa lengo la kusaidia wale wasiojiweza kumudu gharama za kujisomesha elimu ya juu na wawe wamefaulu vizuri kuendelea na elimu ya juu...
  4. mickymasu

    Kikwete alikuwa anatumia uchawi gani!? Maana kodi alikuwa hakusanyi lakini aliweza kupandisha mishahara wafanyakazi

    Je ulishajiuliza kuhusu kuongezeka kwa deni la taifa na sababu yake ilikua ni nini, ukishajua hilo utajua ni kwa nini kiketwe aliweza.
  5. mickymasu

    Ulishindwa kuendeleza Chato miaka 20 uje uweze kuendeleza Tanzania miaka 5?

    Mkuu tukianza kwenda kwa hivyo basi na mie nitauliza je yule mgombea wa upande wa pili yule wa monduli kule atokako ni kama new york? Maana yeye amekua kwenye hii serikali kwa mda mrefu zaidi ya JPM na ameshikilia nya zifa za juu zaidi ndani ya nchi na kwa miaka mingi zaidi ya JPM lakini...
  6. mickymasu

    Musukuma: Kuna wanasiasa wameahidiwa 10% kuweka presha ndege kuzuiwa

    kwa nchi yetu sioni umuhimu ya hao unaowaita wasoma kwa maana wao ndio waliochangia kwa kiwango kikubwa nchi hii kua namatatizo sababu ya 10%
  7. mickymasu

    Tunaelekea wapi!? Wapinzani leo wamegeuka wanamtetea Manji!!

    Unamda gani na umeanza lini kuifuatilia siasa ya tz? Inaonekana ni mdogo sana kiumri au sio mtanzania kabisa kwa maana ungekua mtanzania wala usingeweza kutoa hoja hiyo kabisa.
  8. mickymasu

    Serikali kuifutia leseni kampuni ya simu ya Manji

    Pesa za bill gates alizipata kwa halali lakini manji utajili wake umekua na kashfa nyingi za ufisadi(eg nssf) na dhuluma.
  9. mickymasu

    Government and Barrick Visit Mining Sites during their Talks

    Ndg ukiona hivyo jua upinzani wa nchi yetu umekosa mwelekeo
  10. mickymasu

    CCM inafaa kutuongoza tena mwaka 2020?

    Matamko ya CCM yanatekelezeka lakini ya upande wa pili yanabaki midomoni tu.
  11. mickymasu

    Rais Magufuli: Baadhi ya Mawaziri katika Serikali yangu ni Wapumbavu

    hicho ndicho mlichobakisha maana ukomo wenu wa kufikilia ndo ulipoishia
  12. mickymasu

    Rais Magufuli: Baadhi ya Mawaziri katika Serikali yangu ni Wapumbavu

    Yani upinzani wa leo unasikitisha sana, walichobakiza sasa wao ni kujadili kauli tu za raisi yani hawana hoja kabisa za maana.
Back
Top Bottom