mkuu mtakaa sana! siku zote narudia kwakusema Tatua yatizo usiahirishe tatizo litakugharimu. ukweli utadhihiri na mtalia na kusaga meno! mahakama ya kazi haina shida yyte ile muikatae msikatae nuru ya mungu haizimwi na nguvu za wanadamu.
kumbe humu jf kuna wapuuzi. usilolijua ni sawa na usiku wa kiza. mnauficha ukweli ipo siku utadhihiri wenyewe. kwenye tatizo tatua tatizo ukificha tatizo yatakukuta madhara. mahakama ya kazi unavozani ww au tafasiri yako sivo hivo soma ujue kama hujui uliza. mtu halazimishwi kuingia kwenye dini...
sitta amechanganyikiwa wamezidi kuwaona waislamu hawafai. huwezi kuwadanganya watu kama watoto. useme tusubiri maridhiano toka kwa waziri mkuu cjui mahakama ya kadhi ipo kwenye sheria haitakiwi kwenye katiba. Hapa inaandikwa katiba ya miaka hamsini mbele sasa kama inaandikwa katiba kwann...
Tatizo kubwa hapo elimu ndio tatizo. mahakama ya kadhi sawa haiwahusu wakristo inawahusu waislamu na ndiomaana wanaidai. Na halazimishwi kila muislamu kupeleka kesi yake hapo kama hutaki kupeleka hapo unaenda kwenye ya serikali.Na mkristo kuzaa na muislamu au muislamu kuzaa na mkristo hiyo ni...
nyie mnamatatizo ya uelewa kabisa. mtumishi wa serikali anapangiwa sehemu yyte ile mwajiri wake atakavoona inafaa. sasa maneno mengi mlitaka ndalichako akae milele necta? necta ni taasisi ya serikali sio ya mtu binafsi. miaka aliokaa inatosha na amefanya mengi ndani ya miaka hiyo. na sasa...
wanafiki ni wengi sana watanzani siku zote wanaongea sana bila ya kufikili,na niwagumu kwamabadiliko hata kama kitu kizuri kinakuja huwa hawakubali. dr ndalichako amefanya kazi vyakutosha na ameachia wengine wafanye kazi. mbona Rais anafanya kazi na anaingia mwingine tatizo nn? acheni Rais...
lowasa hafai kuwa rais.Ila kwakuwa chama chake kinaweza kumsimamisha ndio anaweza kupata lkn sifa hana. fisadi mkubwa huyo anaemtetea kwakuwa anasaka tonge na huwezi msifia mtu kwakuponda walio madarakani. mtoa mada umechemka toa mambo muhimu yanayolikabili taifa. unaanza kampeni muda bado...
watanzani mtakaa sana kila kitu kuponda bila kuangalia kwa makini. someni kwamakini mtaelewa sio kukurupuka. Ndio maana prf kahigi alisema watu hawataki kusoma kabisa hata vitabu au kwenye mtandao wanakazi ya kulalama tu. Kubalini mabadiliko mabadiliko muhimu kwawakati tulionao lkn ni mabadiliko...
watanzani mtakaa sana kila kitu kuponda bila kuangalia kwa makini. someni kwamakini mtaelewa sio kukurupuka. Ndio maana prf kahigi alisema watu hawataki kusoma kabisa hata vitabu au kwenye mtandao wanakazi ya kulalama tu. Kubalini mabadiliko mabadiliko muhimu kwawakati tulionao lkn ni mabadiliko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.