CALL TO ATTEND JOB INTERVIEW
The following Job applicants have been shortlisted to appear for written
Interview on Friday 14th August, 2015 from 8.00 am. They are required to
bring with them original certificates and transcripts.
A: TUTORIAL ASSISTANT IN ACCOUNTING AND FINANCE
1. RAMADHANI...
Habari za asubuhi jaman. Kuna kitu kinaniboa Sana nchi hii, yaan mtu unaitwa interview una uhakika umefanya vizuri halafu mwisho wa siku kimya halafu unasikia mbona watu wapo kazini
Jaman hii nchi watu tusio na watu kwenye system Tunatoka lin?
Lingine nafasi 5 mnaitwa watu elfu 1000 halafu...
Jaman tujaribu tu Ila kujuana ni Sana unaweza ukaitwa huwez jua Ila jaman mimi naomba ili Chama litoke madarakani yani watoto wasio na ndugu serikali wanabak kuzunguka na bahasha miaka na miaka
Jaman vipi hamjasikia chochote kuhusu format za interview zao? maana siku ndo sishayoyoma kwa mwenye knowledge kidogo atusaidie tusizame jamani maana inabidi angalau tufaulu viwango vya juu wakose sababu ya kutuchinjia baharini......Mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe
Jamani nashukuru sana kwa msaada wa mawazo si unajua wengine ndo tuningia kwenye gemu ya ajira hatujui moja wala mbili tunaihitaji msaada wenu...I really appreciate it.thanx.
jamani naombeni msaada wa mwazo maana nimeitwa interview wki ijayo tarehe 12 lakini transcript zinatoka tarehe 15 sasa sijui kama watakubali provisional results.nomeeni msaada wa mawazo tafadhali!
jamani naombeni msaada wa mwazo maana nimeitwa interview wki ijayo tarehe 12 lakini transcript zinatoka tarehe 15 sasa sijui kama watakubali provisional results.nomeeni msaada wa mawazo tafadhali!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.