MFAHAMU MAGUFULI
Dk. John Pombe Joseph Magufuli, alizaliwa Oktoba 29, 1959 wilayani Chato. Amezaliwa katika familia ya mkulima wa pamba na ufugaji.
ELIMU
Mwaka 1967 1974 alisoma Shule ya Msingi, Chato.
Mwaka 1975 1977 alisoma Shule ya Msingi Katoke, Biharamulo mkoani Kagera.
Mwaka...
tena hata mtoto mdogo aliyezaliwa leo anaweza kuona ukweli ulivyo kama unampenda mkeo una hama chumba cha nini??? baki naye wako uyoooo, wamemtema kishujaaa chadema, Mbowe kweli katili jamani.Anamtenga mpiga dili wa Taifa.
-Le Mutu usiwasikilize hao waliojazwa upepo wa baiskeli akili sio zao sasa ivyi, Chezea Mbowe wewe...???? Kila mtu anamslahi yake pale kama ndo umoja wangekaribishwa kwenye ofice ya Chadema Kinondoni kwa sababu anawaona sio, Wapiganani the GURNERS, Yani Washika bunduki wa Ukawa (Wapiga dili)...
Nyie endeleeni kuzitoa comments zangu nashukuru kwa kuwa mnaziona, ADMINI hili linakuhusu wewe, Jana umeitoa leo umeitoa, nini maana ya kuweka comments box?? Sasa Nasema kuwa CCM haitaondaoka na inanafasi kubwa ya kuwaongoza Watanzania, Mkuu nashukuru kwa tathini ambayo ni facts, Upo VIZURI Sana.
Kwanza napenda kukushukuru kwa Tathimini mkuu ukweli ni fact kabisa uliyosema na asiyeweza kuelewa ni Bingwa wa Ujeuri na atapasuka tarehe 25 mapema sana, Ukweli wanadhani kwamba CCM ni chama cha kitoto toto, kuungana juzi propaganda kama UKAWA imewafanya kuwa na chejo nyingi kiasi cha kujiona...
Nashindwa kuelewa nyie mnao tetea ujinga, Kweli kazi ya Kutunza kondoo wa Mungu ni kuogopesha watu na kuwajibu kama unajibu watoto wako nyumbani??? Ukweli Mch.Gwajima nina mashaka naye haswa kwenywe kuongoza wanakondoo wake, na Nguvu anazojiamini nazo, Ivyi kweli hata enzi za manabii ivy ndo...
MFAHAMU MAGUFULI
Dk. John Pombe Joseph Magufuli, alizaliwa Oktoba 29, 1959 wilayani Chato. Amezaliwa katika familia ya mkulima wa pamba na ufugaji.
ELIMU
Mwaka 1967 1974 alisoma Shule ya Msingi, Chato.
Mwaka 1975 1977 alisoma Shule ya Msingi Katoke, Biharamulo mkoani Kagera.
Mwaka...
Kiongozi wakweli ni yule anayekuwa na Hofu ya mungu na kuweza kujali wanzake kwa kuwapa haki yao, Tanzania ni muda mrefu sana hatujapata kiongozi ambaye anaweza kujitoa kwa ajili ya watu wengine lakini kwa sasa tunamshukuru mungu kwa kutupa kiongozi mzuri Dk.Magufuli kwa kutupa matumaini ya...
acheni kudumaza akili kila kinachofanyika kutoa ukweli nyie mnasema wamepewa pesa sasa kipi kisimame kutoa ukweli tuamini???, Mi naona huo ndo ukweli unaotakiwa kuongelewa CCM Inaongoza na Ukawa inaisoma namba tu.Ingekuwa nyie ndo mmepewa nafasi iyo je ungetoka na kukanusha????, CCM Inapendwa na...
Hatimaye majembe makuu matatu siku ya jana mnamo saa flani ivyi ya mchana katika mkutano wa kumnadi Mgombea urais Dk.Magufuli, Samwel Sita afunguka kuwa alishakatazwa kumsupport LOWASA kuwa kuwa ni Mwizi wa Mali za watanzania toka mwaka 1995 mwezi wa 6 akiwa na Baba wa Taifa Mwl.Julias Nyerere...
Barua kwako Lowasa Leo, Dear Mh,LOWASA
Nini unakitaka kwenye hii nchi we mzee wangu?? Unataka kuligawa hili Taifa?? mbona uadilifu wako sio mzuri kabisa? ukweli watanzania wana mashaka na wewe na umeshapoteza point nyingi kwenye Ligii hii ya Uchaguzi.
Unaingia kwenye IBADA YA MUNGU unaenda...
Samia Suluhu Hassan mgombea mwenza wa docta Magufuli asitisha kampeni zake jiji la Dar es Salaam, aahidi mambo mazuri kwa wakazi wa Dar es Salaam, asema atafatilia barabara zenye sifa ya kuingizwa Tanroad, kutatua migogoro ya ardhi na kuweka mazingira bora.
CCM mbele kwa mbele
#hapa kazi tu
mimi naona ni kitu kizuri muhimu kukazia maana hatuwezi kuendelea kama hatuna mapato mazuri ya nchi. HONGERA SANA Dr.Magufuli.
#HAPA KAZI NA NINAYO KAZI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.