Unakuwa unapewa tu maswali ya kawaida simple math,eng structure kidogo na ya elimu ya uraia kidogo mfano anaeza kukuuliza labda utaje maraisi wa east africa au mlima kilimanjaro una urefu gani au waziri wa afya ni nani, nk na mm pia nimeitwa hiyo tar 5 jmosi post ya management information...
Mi nauza Samsung galax advanced lak 3 tu ila nimeshaitumia dukani ni kama laki 5 kwa sasa na nauza tab 3, 7.1inch laki 5 na 30 ni mpya kabisa,0717400039
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.